M23

Huwa hawasemi, wanaendaga kimya kimya, mara paaap kizimkazi anataitiwa, hajakaa sawa anapigwa amba kati, chembe kidevu, mwisho wa mchezo.
 
KUNA KITU KINANIAMBIA KUWA kuna kitu kitaenda kutokea TANZANIA kisicho cha kawaida
 
Mtu mwenye konektion na M23 naomba aniunganishe nao.Ukombozi uanze sass.
Omba connection za Alshabab maana hao hawana shughuli ya kitoto.
Ukifanikiwa ktk mission zako, majeshi yetu itabidi yajitafakari huko walipo.
Wananchi tunawalilia watusaidie kutetea haki zetu lakini wao kimya tupu hata neno hawatoi. Ndio maana sasa watu wanaulizia connection za M23.

Naiona taabu iko jikoni- jeshi letu pendwa teteeni haki za watu- Vilio vikekuwa vingi huku mtaani. Munajua cha kufanya…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…