M-pesa msifanye wizi na kusingizia tatizo la mtandao

Rwey

Senior Member
Jul 11, 2008
121
23
Last week nilimtumia mtu fedha kupitia m-pesa, salio likapunguzwa kwenye akaunti yangu na fedha kwenda kwa mlengwa. Cha ajabu niliyemtumia akaenda kwa wakala kutoa fedha anaambia hawezi kutoa fedha haitoshi, wakati salio lake linaonesha limeongezeka kwa fedha niliyomtumia. Kuwapigia macustomer care kila mmoja anatoa jibu lake mengine yenye kukera kabisa. Mara tatizo la mtandao, mwingine akaniambia hawez kunisaidia, mwingine akasema nisubiri tatizo linashughulikiwa. Sasa ndo nini, sielewi!
 
mh! sidhani km kuna wizi mimi nilituma hivyo hivyo km wewe yule mtu aliiona kwenye salio lkn hakuweza kuitoa coz ilikuwa pending sababu ya mtandao.
 
Last week nilimtumia mtu fedha kupitia m-pesa, salio likapunguzwa kwenye akaunti yangu na fedha kwenda kwa mlengwa. Cha ajabu niliyemtumia akaenda kwa wakala kutoa fedha anaambia hawezi kutoa fedha haitoshi, wakati salio lake linaonesha limeongezeka kwa fedha niliyomtumia. Kuwapigia macustomer care kila mmoja anatoa jibu lake mengine yenye kukera kabisa. Mara tatizo la mtandao, mwingine akaniambia hawez kunisaidia, mwingine akasema nisubiri tatizo linashughulikiwa. Sasa ndo nini, sielewi!

Mkuu unatoa hukumu haraka sana, nafikiri kabla ya kufikia kusema Mpesa ni wezi fanya hata kautafiti kadogo kujua ni watu wangapi wamewahi kutapeliwa pesa zao? Kwikwi kwenye mitandao ni jambo la kawaida, labda kama ingekuwa inatokea mara kwa mara sana. Hata ukienda kwenye ATM za mabenki si kuna wakati unazikuta ziko out of service??

Mimi nimmoja kati ya watumiaji wakubwa na wa mara kwa mara wa Mpesa, I can confirm to you that currently this is one of the most reliable, secured, fastest and user friendly means of transfering money in Tanzania.
 
Mkuu unatoa hukumu haraka sana, nafikiri kabla ya kufikia kusema Mpesa ni wezi fanya hata kautafiti kadogo kujua ni watu wangapi wamewahi kutapeliwa pesa zao? Kwikwi kwenye mitandao ni jambo la kawaida, labda kama ingekuwa inatokea mara kwa mara sana. Hata ukienda kwenye ATM za mabenki si kuna wakati unazikuta ziko out of service??

Mimi nimmoja kati ya watumiaji wakubwa na wa mara kwa mara wa Mpesa, I can confirm to you that currently this is one of the most reliable, secured, fastest and user friendly means of transfering money in Tanzania.

Recently kumekuwa na matatizo mengi kwenye mtandao wa M-Pesa
Nafikiri Vodacom wanatakiwa walishughulikie hili suala haraka sana kwa sababu linahusiana na mshiko
 
Back
Top Bottom