M-pesa imenisababisha nifukuzwe na mama mwenye nyumba siitaki tena

Pole sana mdau pia hilo swala limenikumba hii leo asubuhi nimemtumia mdogo wangu akalipie matibabu na mpaka muda huu hela hajaipata na sijui nini cha kufanya maana ni fedha nyingi jamani

Mkuu hata mm nimechanganyikwa sijui cha kufanya maana kila nikipiga huduma kwa wateja inagoma na mimi niko tabora.njia pekee ni kuachaja na hawa jamaa tu
 
mkuu sidhani kama delay ya muda mfupi hivyo inapelekea wewe kufukuzwa kama mbwa,.


Jaribu kuweka mambo yako sawa na mama mwenye nyumba inaelekea hamuelewani maana kama mngekuwa mnaelewana vizuri ungemuelezea tatizo lako na angekuelewa bila shaka,.
Huyu mama huwes amin kod ilibidi ilipwe juzi nikamwambia kesho yan jana jana leo na leo kesho kagoma
 
Weka direct debit au standing order kila mwezi hela inaingia kwenye account ya mwenye nyumba na akuna mambo ya kupeana cash. Inabidi Watanzania tujifunze jinsi ya kufanya malipo kirahisi.
 
Aaah mm siamini kama mwenye nyumba akupe notis kisa hujalipa siku mbili wewe unaonekana una majanga kwenye malipo au unadharau sana kwenye nyumba za watu
 
Aaah mm siamini kama mwenye nyumba akupe notis kisa hujalipa siku mbili wewe unaonekana una majanga kwenye malipo au unadharau sana kwenye nyumba za watu

Sasa kaka na dharau hela si ninayo kwan umesikia hela ya voda hii kama kusingekuwepo na hizi faults si ningelipa wewe vp bwana acha uzichi wa viroba
 
Weka direct debit au standing order kila mwezi hela inaingia kwenye account ya mwenye nyumba na akuna mambo ya kupeana cash. Inabidi Watanzania tujifunze jinsi ya kufanya malipo kirahisi.

This is vry nice lazima nihamie huku mkuu.
 
lakini kila jambo lina changamoto zake , hasa unapotumia vitu vya machine(simu, computer, gari,n.k), tegemea lolote katika utumiaji wake na wala tusitumie tukiipa 100% perfect
 
Inavyoonekana we ni msumbufu kwenye malipo. Unasubiri hadi siku ya mwisho ndio ulipe halafu unatoa visingizio kibao.
 
Back
Top Bottom