Ndugu wa Trump
JF-Expert Member
- Nov 9, 2016
- 958
- 703
Si Don fisadi mkuu au ?Kwani aliyeinunua chadema ni nani?!
Si Don fisadi mkuu au ?Kwani aliyeinunua chadema ni nani?!
Hata Rais wa Burkina Fasso, marehemu Thomas Sankara naye alishasifia ukichaa.Mbona wamemfananisha na sokoine na nyerere kwamba nao walikuwa vichaa?
Nimekuelewa sawa sawa !Kuna samaki fulani wanaitwa gogogo wana vichwa vigumu haswa ila miili yao ni midogo sana, lakini ugumu wa kichwa chake hata upike na makaa ya mawe huwezi kuondoa ugumu wake.
Sijui kama umeelewa.
Jamani Sky ! Sasa umbea wake ni nini ? Kurudia waliyo yasema wazee wa kimila ?Wewe ni mmbea sana
Kiboko yake Zitto huyo, kapewa 24 hours cash! akubali kuwa yeye ni mnafiki na mmbeya lasvyo ataipata. Sasa sijui ataipataje, shauri yake na kigazeti chake cha Tanzanite.Wewe ni mmbea sana
Na hao viongozi wa ccm kina kafulila na mtatiro walikuwa wanasema nn juu ya wana lumumba?Liongo kama viongozi wa CHADEMA walituambia Lowasa fisadi ,leo wanatuambia Lowasa mtu mwema
Gazeti la propaganda za ccm linaloitwa Tanzanite la Cyprian Musiba!Tafadhali Weka chanzo sio gumzo
Pole mkuu,Mtapata taabu sana .Kwani aliyeinunua chadema ni nani?!