M/kiti mtaa wa Sinza" e" rushwa zitakuponza

M/kiti mtaa wa Sinza" e" rushwa zitakuponza

gomba

Member
Joined
May 6, 2013
Posts
18
Reaction score
5
Mwenyekiti wa Mtaa SINZA "E" na watendaji wako{CCM} Mnafanya kazi kwa ubabaishaji.Mnachukua rushwa kwa Boda boda na kuwaruhusu kuziegesha kwenye mageti na nyumba za watu.

Boda boda hawa mmewapa JEURI na KIBURI Wanakataa kuondoka kwenye maeneo ya watu,wana lugha chafu.Boda boda hawa wanatumika kwenye matukio ya wizi na ujambazi hasa ukizingitiwa wizi kwa mawakala wa M-pesa n.k umeshamiri Sinza.
 
Hawa Boda Boda wamekuwa kero.Mwenyekiti wa mtaa na watendaji wake ni sehemu ya tatizo.Wana sinza tumefanya makosa kuwachagua CCM!
 
Pia anawalea wavuta bangi mtaa unafuata baada ya Califonia. Pili Mwenyekiti pia anawalelea makandarasi wa kuzoa taka ambapo wanatoza fedha tofauti na makubaliano yaliyofanywa na wananchi na serikali ya mtaa na mwisho anawalea vijana wawili wezi wa taa za magari katika mtaa huo wa Sinza E
 
duh mwenyekiti njoo huku usome malalamiko ya wananchi wako
 
gomba mzushi mkubwa wewe, kama una uhakika kuwa wanapokea rushwa nenda kawaripoti takukuru na watawekewa mtego wakamatwe. usiwasingizie watu kwa nia ya kuwachafua tu kisa huwataki bodaboda kwako..chimbia matairi mbele ya nyumba yako au chimba mtaro wataondoka lakini usizushe uongo
Mwenyekiti wa Mtaa SINZA "E" na watendaji wako{CCM} Mnafanya kazi kwa ubabaishaji.Mnachukua rushwa kwa Boda boda na kuwaruhusu kuziegesha kwenye mageti na nyumba za watu. Boda boda hawa mmewapa JEURI na KIBURI Wanakataa kuondoka kwenye maeneo ya watu,wana lugha chafu.Boda boda hawa wanatumika kwenye matukio ya wizi na ujambazi hasa ukizingitiwa wizi kwa mawakala wa M-pesa n.k umeshamiri Sinza.
 
Nyinyi ndio wananchi chukueni hata stahiki acheni Julia lia hapo alaa.!
 
Serikali ya mtaa chini ya ccm ni tatizo kubwa, wananjaa kiama siku zote huwa wana ruhusu upumbav
 
gomba mzushi mkubwa wewe, kama una uhakika kuwa wanapokea rushwa nenda kawaripoti takukuru na watawekewa mtego wakamatwe. usiwasingizie watu kwa nia ya kuwachafua tu kisa huwataki bodaboda kwako..chimbia matairi mbele ya nyumba yako au chimba mtaro wataondoka lakini usizushe uongo


wewe mburula unakaa wapi? au baba yako ndio mwenyekiti wa mtaa??
 
Pia anawalea wavuta bangi mtaa unafuata baada ya Califonia. Pili Mwenyekiti pia anawalelea makandarasi wa kuzoa taka ambapo wanatoza fedha tofauti na makubaliano yaliyofanywa na wananchi na serikali ya mtaa na mwisho anawalea vijana wawili wezi wa taa za magari katika mtaa huo wa Sinza E

hawa wajinga wanakadilia bei ya takataka! ukiingia kichwa kichwa inakula kwako.
 
Hawa Boda Boda wamekuwa kero.Mwenyekiti wa mtaa na watendaji wake ni sehemu ya tatizo.Wana sinza tumefanya makosa kuwachagua CCM!

Kkwani we ulikua hujui kama kuichagua CCM tayari unamatatizo ya akili?
 
mkuu pusha kuna wajinga wamewachagua! kata zote za Sinza zimeenda kwa Magamba.

Si mlihongwa na ccm kumukomoa diwani wa Sinza Renatus Pamba?!nyie....Dar washamba sana
 
Back
Top Bottom