tonicimmobility
JF-Expert Member
- Jun 17, 2025
- 493
- 1,038
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Aretas Lyimo amesema hakubaliani na dhana kwamba taifa linaweza kutajirika kwa kulima dawa za kulevya. Amesema mitazamo hiyo haina mashiko kwani inaleta madhara makubwa kijamii, kiafya na kiusalama kwa wananchi.
Soma pia: Aretas Lyimo: Tanzania inaongoza udhibiti wa dawa za kulevya
Amefafanua kuwa taifa lina mazao mengi ya kibiashara yenye tija ambayo yanaweza kukuza uchumi bila kuathiri afya za watu na mustakabali wa vijana. Kwa mujibu wake, juhudi za kuwekeza katika mazao halali na kuimarisha uzalishaji zitachangia kwa kiwango kikubwa maendeleo ya taifa kuliko kulinda biashara haramu ya dawa za kulevya.
Soma pia: Aretas Lyimo: Tanzania inaongoza udhibiti wa dawa za kulevya
Amefafanua kuwa taifa lina mazao mengi ya kibiashara yenye tija ambayo yanaweza kukuza uchumi bila kuathiri afya za watu na mustakabali wa vijana. Kwa mujibu wake, juhudi za kuwekeza katika mazao halali na kuimarisha uzalishaji zitachangia kwa kiwango kikubwa maendeleo ya taifa kuliko kulinda biashara haramu ya dawa za kulevya.