MAPUMA MIYOGA
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 3,793
- 2,362
Hivi huyu mzee hataki kabisa kuona kuwa Jua limezama uapnde wake kiasi kwamba atulie tu??
Naamini huyu angepata kuwa rais asingeachia mpaka afe kama MUGABE na MU7.
uzee huu wote bado anataka kuongoza, sijui amuongoze nani sasa??
Naamini huyu angepata kuwa rais asingeachia mpaka afe kama MUGABE na MU7.
uzee huu wote bado anataka kuongoza, sijui amuongoze nani sasa??