Lusekelo mwezi Machi unaisha, vipi umeacha kuhubiri na kwenda kuuza gongo kama ulivyosema ?

viwanda

JF-Expert Member
Nov 16, 2016
697
749
Mwenye taarifa za kufa wale waandishi au kuuza gongo mchungaji lusekelo atujuze.
 
Gwajima kamfunika

Kusika kwake wakati huu ni ngumu,

Kutesa kwa zamu, zamu ya Mzee wa fa fa fa fa

Labda nae aje na single mpya Kali kushinda hii ya fa fa fa faaaaaa
 
Daah! halafu umenikumbusha kitu cha maana sana na viroba vimezuiwa bora tukapige gongo kwa mzee wa jibapa!

Mkuu ukipata site anakouzia uniiite!
 
Huyu tapeli sana, atakua anachukia sana jinsi jamii isivyomuongelea kwa sasa upepo unavuma mwelekeo wa ubungo kibo na si kibangu tena. Tatizo alitoa tamko akiwa ametupia jibapa
 
Back
Top Bottom