Nimejaribu kufuatilia jana na siku mbili tatu za nyuma sijaiiona, nilitegemea kupata airtel shop wameniambia bado. Midcom kariakoo waliniambia mwezi wa nne itakua tayari nimeenda pale mara mbili duka limefungwa nimeambiwaa wamehahama. Sijui Midcom maduka yao yapo wapi tofauti na kariakoo