unafikiri kisa lecture unaweza mtia mtoto wa tajiri au mke wa tajiri.. kisa unamfundisha?
unaweza kumtia tu moyo wake ukupende aamue kukupa... ila sio kwa ushawishi wowote?
shigongo anasoma tumaini university mwaka wa kwanza.. chuo anakuja na range rover.. walimu wanapaki vi spacio.. yeye kajiajiri na walimu wameajiriwa.. wanajichekesha tu darasani kila dakika blaza shigongo hebu fafanua hii kwa uhalisia ili wanafunzi wenzako waelewe
Tunaambiwa , baada ya muigizaji lulu Michael aka lulu , kumaliza diploma aliyokua anasomea, sasa hvi amejiunga kwenye chuo cha IFM akichukua degree . Safi sana lulu , beauty with brain , Mungu akutangulie
unafikiri kisa lecture unaweza mtia mtoto wa tajiri au mke wa tajiri.. kisa unamfundisha?
unaweza kumtia tu moyo wake ukupende aamue kukupa... ila sio kwa ushawishi wowote?
shigongo anasoma tumaini university mwaka wa kwanza.. chuo anakuja na range rover.. walimu wanapaki vi spacio.. yeye kajiajiri na walimu wameajiriwa.. wanajichekesha tu darasani kila dakika blaza shigongo hebu fafanua hii kwa uhalisia ili wanafunzi wenzako waelewe
unafikiri kisa lecture unaweza mtia mtoto wa tajiri au mke wa tajiri.. kisa unamfundisha?
unaweza kumtia tu moyo wake ukupende aamue kukupa... ila sio kwa ushawishi wowote?
shigongo anasoma tumaini university mwaka wa kwanza.. chuo anakuja na range rover.. walimu wanapaki vi spacio.. yeye kajiajiri na walimu wameajiriwa.. wanajichekesha tu darasani kila dakika blaza shigongo hebu fafanua hii kwa uhalisia ili wanafunzi wenzako waelewe