ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,728
- 34,850
Hapana mvutoKamusi ya kiswahili
[emoji117]Bashite;
-mtu asiekuwa na akili timamu.
-chizi
-mwendawazimu
-mtu anaependa kujisifu
-Mtu aliepata daraja sifuri kidato cha nne
-Mtu aliyezungusha sahani
Mfano wa sentensi wa neno "bashite"
[emoji117]juma ni _bashite_
[emoji117]daudi ana _ubashite_ kichwani
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Muda si mrefu neno BASHITE litageuka na kuwa tendo la MTU ALIYEPATA SIFURI KWENYE MTIHANI kama ilivyokuwa enzi za kihiyoKamusi ya kiswahili
[emoji117]Bashite;
-mtu asiekuwa na akili timamu.
-chizi
-mwendawazimu
-mtu anaependa kujisifu
-Mtu aliepata daraja sifuri kidato cha nne
-Mtu aliyezungusha sahani
Mfano wa sentensi wa neno "bashite"
[emoji117]juma ni _bashite_
[emoji117]daudi ana _ubashite_ kichwani
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Bar itafungwa (may be imeisha fungwa) but umejiuliza swali hili; " baada ya bar hiyo kufungwa, hao machangu wataenda wapi?" Obvious wataenda sehemu/bar nyingine; so kumbe jibu sio kuifungia hiyo bar bali ni kuisambaratisha hiyo biashara ya ya uchangu mjini.Kwa suala la mawaziri na Makonda nakuunga mkono kwa Corner Bar acha wafungiwe na sio hao tu Waende Bar nyengine zinazofuga mashoga na machangudoa, Hapi ana umakini katika maamuzi yake,sorry kama ulikosa huduma mkuu.
Kwa suala la mawaziri na Makonda nakuunga mkono kwa Corner Bar acha wafungiwe na sio hao tu Waende Bar nyengine zinazofuga mashoga na machangudoa, Hapi ana umakini katika maamuzi yake,sorry kama ulikosa huduma mkuu.
Umepiga katikati mkuu,wenye kusoma wasomeNi kweli brother, na Kama ndivyo basi hata hapo Dodoma Pindi bunge likianza vikao huwa Malaya wanajaa kila kona ya huo mji, kwa hiyo tuseme basi na Bunge lifungwe? Ifike mahali viongozi wafanye kazi kwa weledi. Hii mihemko haitatufikisha popote
Bravoooo Nape!!! umethubutu tunahitaji viongozi wa namna hiyo wasio na woga wala unafiki wanasimamia weledi na wasiyoyumbishwa. Ndalichako uko wapi? toa msimamo wa Daudi Bashiteee!Hii Nchi tukianza kuiendesha kwa visasi namna hii tutapata laana. Viongozi lazima watende haki ili Kumfurahisha Mungu na siyo kutenda maovu kwa kumfurahisha mtu.Kazi ya kuwasaka na kuwadhibiti Malaya ktk Mabaa ni kazi ya Serikali kupitia Polisi. Wenye Mabaa wana uwezo Gani wa kupambana na Hawa Machangudoa waliojaa kila kona ya nchi hii? Mambo mengine yanayofanywa na viongozi ni hovyo haijapata kutokea,
Urban Dictionary?Kamusi ya kiswahili
[emoji117]Bashite;
-mtu asiekuwa na akili timamu.
-chizi
-mwendawazimu
-mtu anaependa kujisifu
-Mtu aliepata daraja sifuri kidato cha nne
-Mtu aliyezungusha sahani
Mfano wa sentensi wa neno "bashite"
[emoji117]juma ni _bashite_
[emoji117]daudi ana _ubashite_ kichwani
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Hapi ana umakini upi?Kwa suala la mawaziri na Makonda nakuunga mkono kwa Corner Bar acha wafungiwe na sio hao tu Waende Bar nyengine zinazofuga mashoga na machangudoa, Hapi ana umakini katika maamuzi yake,sorry kama ulikosa huduma mkuu.
Ni kweli. Haya mambo yote ya madawa yako chini ya wizara yake. Lakini hatusikii maoni yake yeyote.Mwigulu anaogopa yasije mtokea kama ya bwana daudi bashiteee
haya bwana, kwahiyo wema ndiyo Dira?Miaka inakatika, badala ya ku deal na vitu vya kupeleka Taifa mbele mna deal na vitu vya hovyo hovyo kwa kutaka sifa,wakati Wananchi wameshakosa Dira, hawaoni hata kiwanda kimoja, ati mmebaki na kupima watu mikojo ili mjue Kama wanatumia madawa, sasa hata Kama. Wananchi watanufaika na nini!