Ni kweli ila sababu c kwamba yeye Vangimembe ni imara sana hapana! bali wananchi wenyewe wa Isimani bado sana! 2010 Kuna mtu alijjitokeza kutaka kugombea,alichofanya alikuja Dar akamtisha Lukuvi wakati huo RC kuwa atamlipua kwa elimu yake fake alichofanya Lukuvi alim accomodate yule jamaa Seacliff kwa siku kadhaa kisha akamvutia mpunga jamaa akarudi jimboni akafanya usanii kurejesha form basi.
Ametoa taarifa isiyo sahihi kwa niaba ya serikali kwa kusema kuwa meli iliyozama inaitwa "seagul".Nina wasi wasi wasi na umakini wa serikali juu ya suala hili.
Sasa Kama serikali haina taarifa rasmi Hii ni Atali
Apa issue sio Lukuvi but serikali as a whole
Kwa Ajari Hii Nathani ni wakati muafaka kitengo cha Majanga under PM Kupiga Mihela
Ametoa taarifa isiyo sahihi kwa niaba ya serikali kwa kusema kuwa meli iliyozama inaitwa "seagul".Nina wasi wasi wasi na umakini wa serikali juu ya suala hili.
Mbona unamsemea sana we mkewe nini? lakini kaa ukijua kwenye majimbo ya uchaguzi hakuna kuomba miongozo subiri wakati ukifika ndo utajua M4C inafanya kazi kivipi we na huyo mmeo