hahaha, watu wabaya sana mkuuDuu, kwahiyo kala bilioni 1
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
hahaha, watu wabaya sana mkuuDuu, kwahiyo kala bilioni 1
hahah, noma sana mkuuDuu, kwahiyo kala bilioni 1
Shangaa sana watu wanajifanya wazalendo kumbe wamejificha kwenye ngozi ya kondoo. Huyu ana uzalendo gani?
No wonder ndio maana anatajika sana kwenye biashara haramu ya SembeHuyo ni mjasilia mali mzalendo, mwacheni apambane
Anashirikiana na viongozi wa serikaliSerengeti Global Services loses bid to avoid paying TBS Sh326m
Pre-inspection firm Serengeti Global Services Limited (SGSL) has lost a legal bid to challenge a court order requiring them to pay the Tanzania Bureau of Standards (TBS) $141,747 (about Sh326...www.thecitizen.co.tz
msome hapo mkuu, huyu hafai
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Mkuu we ukipata chance ya kuiba we iba bahati nzuri na sheria ya uhujumu uchumi inaenda kubadilishwa hakuna kukaa ndani muda mrefuHuna connection mkuu; sasa hvi kama huna connection hutoboi mkuu
Huyu Chris Lukosi ni sawa na mtu ambaye mchana ni malaika na usiku ni shetani. Familia yetu imemshiba Bwana Yesu Kristo,alipomuhujumu ndugu yetu tukamfuatilia Hutu Chris kila kona kawachafua watu wengi sana, na kuna mambo tukiwaambia serikali basi pamoja na Rais wetu Mama Samia kuwa ni mtu mwenye hofu ya Mungu ataridhia adhabu kubwa kuliko zote apewe huyu Lukosi,wizi wa TBS ni kitu kidogo kuliko maofu ayafanyayo, naogopa kuandika kila kitu kwa hofu ya Bwana Yesu.Chris lukosi alikuwa mwenyekiti wa chadema Uk akaunga mkono juhudi baada ya kumpa kesi Godbless lema ya kumbaka Flora mbutananga, akaanza kuitukana chadema na viongozi wake kwa speed ya kutosha kumbe anafanya yake nyuma ya pazia no wonder siku hizi yuko kimya kule facebook
Siku akija bongo inabd umtimbie mikochen kwenye yard yakeWekeni picha ake hapa
Kavamiaje Bandari ?Serengeti Global Services loses bid to avoid paying TBS Sh326m
Pre-inspection firm Serengeti Global Services Limited (SGSL) has lost a legal bid to challenge a court order requiring them to pay the Tanzania Bureau of Standards (TBS) $141,747 (about Sh326...www.thecitizen.co.tz
Huyu chris Lukosi ni dabble standard maana mara ya kwanza alionekana kuponda bandari halafu akatao clip nyingine ya pili ya kuonekana kuwa anaisifia bandariChris Lukosi ni mtu wa ajabu sana, kwanza alitoa clip mbili kuishambulia Bandari na Serikali ya awamu ya sita halafu akatoa clip nyingine kusema kuwa kaongea na uongozi wa Bandari na kila kitu kiko sawa akasema serikali yetu Sikivu,
Juzi kamtuma mtu mwingine aongee kwenye clip kuishambulia Bandari tena, wakati huko nyuma alisema kishaongea na Bandari na kila kitu kiko sawa. Ukitaka kujua ni ndumilakuwili kamtuma mtu kuilamu tena Bandari na walichokosea huyu mtu alijifanya kama ni mfanyabiashara ambaye yuko mwenyewe lakini akajisema kuwa hapa niko Tanganyika shipping lakini mwishoni akataja yuko Serengeti shipping yaani kwa Lukosi,nadhani walisahau ku edit. wazungu wana msemo wao liars should have good memory,masikini wamesahau nyuma alitaja Tanganyika.
Ndigu yangu mbona hueleweki Huyu Lukosi kawaibia TBS mapesa yote, hawa TBS walikuwa wateja wa Lukosi na wameibiwa, vipi wewe hapa useme ni mtu muaminifu kwa wateja?Siku akija bongo inabd umtimbie mikochen kwenye yard yake
Sema jamaa mchapakaz sana
.muaminifu kwa wateja zake
Mnyongemnyongeni haki yake mpeni
Ova
Leo anagawa baiskeli Kwa vilema. Akiongozana na Chalamila!Serengeti Global Services loses bid to avoid paying TBS Sh326m
Pre-inspection firm Serengeti Global Services Limited (SGSL) has lost a legal bid to challenge a court order requiring them to pay the Tanzania Bureau of Standards (TBS) $141,747 (about Sh326...www.thecitizen.co.tz