Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Mgombea Urais kupitia ACT Wazalendo, Luhaga Mpina amesema amekihama chama cha Mapinduzi (CCM ) kwa sababu kimepoteza msingi wake, muelekeo na kuwa chama cha uonevu na dhuluma kwa wananchi usiku na mchana.
Soma Pia: Luhaga Mpina ajiunga na ACT Wazalendo akitokea CCM
Luhaga Mpina Amezungumza hayo katika mkutano wa hadhara ulifanyika Jimbo la Kisesa
Soma Pia: Luhaga Mpina ajiunga na ACT Wazalendo akitokea CCM
Luhaga Mpina Amezungumza hayo katika mkutano wa hadhara ulifanyika Jimbo la Kisesa