Luhaga Mpina apendekeza iundwe tume huru kuchunguza katikakatika ya umeme

Usiwe na jazba mwache Makamba afanyekazi yake naye ni wakati wake Makamba anatosha. Ulipima samaki kwa rula waliopikwa, ulichoma nyavu za wavuvi kwa uonevu, uliharibu mifugo ya wafugaji nani alikuhoji acheni roho mbaya. Kukatika umeme hakuanza Makamba hata kipindi cha nyuma ilikuwa ni zaidi ila taarifa zilizuiliwa kabisa. Tusijifiche kwenye kivuli cha jambo la kitaifa mnachokifanya mnakijua Mungu anawaona.
 
Unda tume unda tume

Wanapenda mambo ya kuunda tume

Hivi hizo tume zinafanya kazi bila malipo au gharama

Ova
 
Use your

Use your brain mkuu, hoja ya Mpina ni muhimu sana. Ni ajabu eti January anaingia kwenye 5 bora kuwa mgombea urais!! Tunamshukuru Mungu sana kwa kumtumia Rais Samia kumu-expose kwa kumuweka kwenye wizara isiyotaka siasa,imetusaidia kujua huyu jamaa ni empty brain kiasi gani!!!
Sasa mbona wewe hata kwenye elfu moja bora hauko? Punguza wivu jombaa, kubali tuu kwamba kipara amepanda ngazi mpaka hapo alipofikia, hata upige kelele vp but mwenzako tayari ameacha his legacy hata akifa Leo, what about you??
 
Ukiwa unakaa, kula, na kulala kwa shemeji alikoolewa dadako huwezi kuona point za ho wabunge, ila utakuja na majibu kama haya kwamba ni chuki

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Puuzi hili, kipindi watu wanalalamika kuhusu watu kuuwawa na kuchomewa nyavu zao kanda ya ziwa mlikuwa hamsemi ni chuki??. Huyu ni mpuuzi wala hana la maana roho mbaya za kimagufuli zimewajaaa.
 
Tatizo la kukatika katika kwa umeme Waziri kashalifafanua...huwezi ku-run mtambo miaka 5 bila service ndugu.
Kwa akili yako ya kawaida ukiacha kuambiwa na kutumia rocket science,
mitambo inaweza kufanya kazi miaka mitano mfululizo bila matengenezo bila shida?
 
Mbunge wa jimbo la kisesa Mhe. Luhaga J. Mpina ameshauri iundwe tume teule ya Bunge ili kuchunguza kukatikakatika kwa umeme mara kwa mara.

Mhe. Mpina amehoji Tanesco iliwazaje kutoka kukusanya Bilion 72 kwa mwezi ila Tanesco ilisimamiwa vizuri na kufikisha makusanyo Billion 160 kwa mwezi ambapo mwaka 2021 Tanesco imekusanya Trillion 2.4 amehoji sababu za kushindwa kutenga hela ya matengenezo inatoka wapi? Tanesco ilikuwa na madeni sugu Billion 272 kwa mwaka 2015 lakini Serikali iliisimamia vizuri na wakalipa madeni mengi mpaka yamebaki Billion 49 hizo hela ya matengenezo wanakosaje?

Tenesco wameweza kufanya kazi nzuri mpaka tukafikia kuzima mitambo ya mafuta ya IPTL, AGRECO na SYMBION ambayo ilikuwa inawaghalimu Billion 719 kwa mwaka, leo wanakosa hela ya maintanance?

Mhe. Mpina ameyasema hayo leo Februari 16,2022 Bungeni jijini Dodoma wakati akichagia hoja kuhusu taarifa ya mwaka ya shuguli zilizotekelezwa na kamati ya kudumu ya Bunge ya uwekezaji wa mitaji ya umma(PIC)Kwa kipindi cha kuanzia januari,2021 hadi februari, 2022.

View attachment 2121545
"Dont kill a messenger rather discuss the message " tusi base kwenye personalities tujiulize kama kuna hoja yakujadili katika madai yake.
 
Chuki na frustration za wabunge wa kisukuma wakiongozwa na Joseph Kasheku Musukuma wamepata pa kutolea nyongo😎
brother kweli unaona hii ni chuki? na sio ukweli kila raia alipaswa asimame kama si unafiki kweli ni mzigo wawasukuma kudai umeme ? kwa hili no watanzania tumezidi unafikuna.
 
Ukatili wake ushapita tayari, ni haki ya mbunge yeyote kuhoji suala nyeti kama lile mkuu.
Umeme unakatika katika hoja inajibiwa kama hutaki uwazir wangu bhaas tafuta kitu kingine cha kuzungumza.. no way mkuu ajibu kwa hoja kama alivoanza kuwa kama ni vikombe, nyaya uchi na mengineyo. Kumuingiza mh. Rais ni udhaifu wa waziri wa sekta husika. Yeye kakasimishwa madaraka ajibu kama waziri
Uwezo wake mdogo kuendesha Wizara hiyo
 
Kwahio wakae kimya wasihoji? Kisa JPM kafa hawana chao…hii nchi ni ya watanzania wote sio wachache kina team kigogo…

Machinga gang tutapambana mpaka kieleweke….mnatuletea wahuni wanatuhujumu hapa unataka watu wakae kimya ili iweje…tume iundwe tujue ukweli…tumeshachezewa sana kwenye hii wizara….

February anashindwa kujibu hoja anamuingiza mama ili iweje…
Uwezo wake ni mdogo kuendesha wizara hiyo
 
Mbunge wa jimbo la kisesa Mhe. Luhaga J. Mpina ameshauri iundwe tume teule ya Bunge ili kuchunguza kukatikakatika kwa umeme mara kwa mara.

Mhe. Mpina amehoji Tanesco iliwazaje kutoka kukusanya Bilion 72 kwa mwezi ila Tanesco ilisimamiwa vizuri na kufikisha makusanyo Billion 160 kwa mwezi ambapo mwaka 2021 Tanesco imekusanya Trillion 2.4 amehoji sababu za kushindwa kutenga hela ya matengenezo inatoka wapi? Tanesco ilikuwa na madeni sugu Billion 272 kwa mwaka 2015 lakini Serikali iliisimamia vizuri na wakalipa madeni mengi mpaka yamebaki Billion 49 hizo hela ya matengenezo wanakosaje?

Tenesco wameweza kufanya kazi nzuri mpaka tukafikia kuzima mitambo ya mafuta ya IPTL, AGRECO na SYMBION ambayo ilikuwa inawaghalimu Billion 719 kwa mwaka, leo wanakosa hela ya maintanance?

Mhe. Mpina ameyasema hayo leo Februari 16,2022 Bungeni jijini Dodoma wakati akichagia hoja kuhusu taarifa ya mwaka ya shuguli zilizotekelezwa na kamati ya kudumu ya Bunge ya uwekezaji wa mitaji ya umma(PIC)Kwa kipindi cha kuanzia januari,2021 hadi februari, 2022.

View attachment 2121545
Akaombe radhi wafugaji na wavuvi, ana laana kubwa sana huyu ya kudhulumu watu hao
 
Hakuna cha umuhimu hapo, ni maslahi tu. Angependekeza tuanze kumchunguza yeye kwanza juu ya malalamiko ya wafugaji na wavuvi alipokuwa waziri.
Kabisa, ameiba mifugo mingi akapelekwa kwao kea kisingizio iko sehemu isiyo sahihi, amekuoa rushwa za wavuvi
 
Back
Top Bottom