Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 4,783
- 14,975
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya WAJIBU, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Mstaafu, Ludovick Utouh amezungumzia umuhimu wa Wananchi kujiandikisha katika Daftari la Wapiga Kura:
Kujiandikisha ni zoezi la Kikatiba, ni Haki yako wewe Mwananchi kuchagua Viongozi unaowataka, itapendeza kila Mtanzania mwenye vigezo kushiriki, huwezi kushiriki katika Uchaguzi kama huna kadi.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Wenye kadi tukahakiki taarifa zetu, Vijana pia washiriki ili wapate haki ya kuchagua viongozi wa nchi yetu nzuri ya Tanzania, itambulike watakaochaguliwa watahudumia Watu wote bila kujali ulipiga au hukupiga kura, hivyo wewe una nafasi ya kushiriki kufanya maamuzi.
Kujiandikisha ni zoezi la Kikatiba, ni Haki yako wewe Mwananchi kuchagua Viongozi unaowataka, itapendeza kila Mtanzania mwenye vigezo kushiriki, huwezi kushiriki katika Uchaguzi kama huna kadi.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Wenye kadi tukahakiki taarifa zetu, Vijana pia washiriki ili wapate haki ya kuchagua viongozi wa nchi yetu nzuri ya Tanzania, itambulike watakaochaguliwa watahudumia Watu wote bila kujali ulipiga au hukupiga kura, hivyo wewe una nafasi ya kushiriki kufanya maamuzi.