Hata mimi sijawahi kushawishika kuwa LD alihusika, ati kisa ni kuogopa kumfunika, wakati Senzo hakuonesha threat yeyote.
Yaani sawa na Mose Iyobo atoke wasafi akawe solo artist, halafu Diamond amuue kwa kumuogopa! No, haiwezekani.
Hata mimi sijawahi kushawishika kuwa LD alihusika, ati kisa ni kuogopa kumfunika, wakati Senzo hakuonesha threat yeyote.
Yaani sawa na Mose Iyobo atoke wasafi akawe solo artist, halafu Diamond amuue kwa kumuogopa! No, haiwezekani.