Lubuva: Mgombea mmoja UKAWA sawa

msemakweli

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2014
Posts
1,627
Reaction score
880
Mkuu MwanaDiwani sijui kama umepata fursa ya kulisoma gazeti la mwananchi la leo. Nakumbuka thread yako hapa ukisema kwamba kwa sheria za sasa UKAWA hawawezi kusimamisha mgombea mmoja. Nadhani suali lako limejibiwa vyema.[

=======================


Chanzo:Mwananchi
 
Hapo hakuna cha akidi wala 2/3 wala mambo ya kupiga kura kwa Facebook au tweeter, Chezea UKAWA wewe......................
 
...ccm hawasomi nyakati,watashangaa wasira kule,lukuvi kuleeeeee,kwa hali ilivyo waage tu.
 
Nimefedheheka sana kwa kauli ya mtu niliyekua namuheshimu kwa kiasi fulani japo kidogo kama huyo anayejiita Rais Mtendaji wa APPT-Maendeleo.

I'm very disappointed !

Msomi mzuri kama huyu anapojipendekeza na kupotosha kiasi cha kuchimbia taaluma na weledi wake mchangani si jambo la kheri kwake na wala chama chake.

Hivi 1995 tulipomuunga mkono mgombea wa NCCR-Mageuzi au 2000 tulipowaunga Mkono CUF tulivunja chama chetu?

Na ni nani alimwambia UKAWA ni chama cha Siasa?

Tukifanya ushirikiano tutakua tumevunja sheria ipi?

Nonesense ! ! !
 
Kuna mwalimu wa chuo kikubwa anaitwa Dr. Bana, hapendi kabisa kuisikia hii.
 
Jambo zuri nimkwamba tunazidi kupata kundi la waigizaji wengi,tulikuwa na comedi baadaye tukapata futuhi na sasa ukawa safi sana tunasonga mbele.
 
Kuna mwalimu wa chuo kikubwa anaitwa Dr. Bana, hapendi kabisa kuisikia hii.


Mkuu wasomi wetu elimu zao zipo mifukoni mwa viongozi ,wanabakia kama magarasha tu achana nao.
 
Vipi mzee,
kaa kwenye vijiwe vya kahawa na wazee wenzako haya mambo ya vijana huyawezi waambie bavicha waje tujadiliane siyo wazee kama wewe ushachoka.
 
Sasa ikitokea wakakorofishana huko mbele hali itakuwaje?
 

Au 2010 Dovutwa alipojitoa kugombea uraisi na kutangaza yeye na chama chake wanamuunga Kikwete katika mbio za Uraisi!!
 
wanacheza mbwa kachoookaaa mgombea wa ccm ndiye rais na wanafahamu hili basi tu wanachechetuuukaaa
 
Jambo zuri nimkwamba tunazidi kupata kundi la waigizaji wengi,tulikuwa na comedi baadaye tukapata futuhi na sasa ukawa safi sana tunasonga mbele.

Hekima ya mjinga ni kukaa kimya, sasa wewe naona hata hiyo hekima ndogo tu umekosa. Nawasikitikia sana wazazi waliokuzaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…