Ukapimwe akili..hata leo unapiga propaganda?subiri matokeo yatoke kijana..kuna watu humu hamjui maana ya uchaguzi wa viongozi kupigiwa kura na wananchi..mtakufa kwa pressure...kama ni mpira,sasa hv ndo dakika ya pili tu ya mchezo,subiria dk 88 ziishe..then urudi hapa uone tathmin zako hizo zitakavyokuwa..ooh Lowasa Rais,Lowasa Mafuriko,Lowasa Mabadiliko,Lowasa anakubalika na vijana wengi,Lowasa nyenyenyeeee...leo ndo majibu na ukweli wa hayo utayapata...mamaeeeeeeee