Lowassa Utawafilisi CCM

Lowassa Utawafilisi CCM

Lowasa yuko kimya si kwa kupenda, afya haimruhusu kuongea, huoni hawezi kutoa speech hata kwa dk 3!? Mdahalo ataanzia wapi, si ndo ataaibika kabisa,... mwaka huu mtamsafisha, mtaficha ukweli ila mwisho wenu oct 25

hizi comment mtajuta kuzitoa october 28.
 
ila jua wakija kuiingia iyo ikulu wanarudisha yotee.... tena kwa hela ya kodi ya umma..
 
Miji imepambwa na mabango kila uchochoro loh na bado hawajiamini, utadhani huyo magufuli au ccm ni chama kipya
 
Msizimalizie fedha kwenye kampen Mahospitalin hamna madawa.😛ray2::crying:
 
Back
Top Bottom