zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Lowasa akiongea kwenye uchaguzi wa mwenyekiti, amewapa Salamu Wapinzani kuwa uchaguzi ukirudiwa Arusha watalichukua jimbo Mapema iwezekanavyo. Chadema walitumia udhaifu wao kulichukua jimbo.
Wapinzani wanapata kichwa na Maandamano, mikutano mikubwa lakini hawaiwezi CCM, CCM ina nguvu ya Umma, angalia uchaguzi wa Viongozi tu nchi nzima ilitetemeka.
CCM ni chama chenye NGUVU KUBWA.
Source: Radio 5
Wapinzani wanapata kichwa na Maandamano, mikutano mikubwa lakini hawaiwezi CCM, CCM ina nguvu ya Umma, angalia uchaguzi wa Viongozi tu nchi nzima ilitetemeka.
CCM ni chama chenye NGUVU KUBWA.
Source: Radio 5