Lowassa: Tutachukua jimbo la Arusha kama uchaguzi ukirudiwa!

Huyu mzee vipi kwani Arumeru Mashariki ilikuwa mkoa gani? si alipanda jukwaani huyo na akapambwa kwenye baadhi ya media mbona bado waliangukia pua?
 
Kwa wenye uelewa wala hatushangai kauli kama hizi kwani i just mechanism defense and nothing more ambazo source yake kubwa ni uoga na si kingine.
 
Lowasa akiongea kwenye uchaguzi wa mwenyekiti,amewapa Salamu Wapinzani kuwa uchaguzi ukirudiwa Arusha watalichukua jimbo Mapema iwezekanavyo.Chadema walitumia udhaifu wao kulichukua jimbo.
Wapinzani wanapata kichwa na Maandamano,mikutano mikubwa lakini hawaiwezi CCM,CCM ina nguvu ya Umma,angalia uchaguzi wa Viongozi tu nchi nzima ilitetemeka.
CCM ni chama chenye NGUVU KUBWA. Source.Radio 5.

Ama kweli freedom is coming soon

Lowassa na CCM nao sasa wanaongelea NGUVU YA UMMA, ie PEOPLES POWER?!

Thanks CDM you are doing a great services to Tanzanians
 
kwa lami zao za mkopo wa wd na deni tutakuja kulipa na kuwalipia cuf mabasi na posho za wahuni kutoka dar ili kupunguza kura za arusha.

ujumbe wangu kwake ni huu.
kwa rrrrrrrrrrrrrrrrrrchuga hakuna rangi wataacha kuona chali yangu.
 
Anafananisha people power na chatanda! Nadhani amekula mataptap sasa tumbo lina unguruma badala aende kuharisha anaongea hovyo...
 
Lowasa akiongea kwenye uchaguzi wa mwenyekiti,amewapa Salamu Wapinzani kuwa uchaguzi ukirudiwa Arusha watalichukua jimbo Mapema iwezekanavyo.Chadema walitumia udhaifu wao kulichukua jimbo.
Wapinzani wanapata kichwa na Maandamano,mikutano mikubwa lakini hawaiwezi CCM,CCM ina nguvu ya Umma,angalia uchaguzi wa Viongozi tu nchi nzima ilitetemeka.
CCM ni chama chenye NGUVU KUBWA.


Source.Radio 5.

Ukiwa huna kitu cha kusema sometimes ni vizuri unyamaze tu!
 
Nimeisoma habari hiyo katika MTANZANIA. Na kwamba RADIO 5 nao wameipa habari hiyo promo, hilo sishangai sana. (umiliki wa MTANZANIA na RADIO 5 unafahamika).

Kilichogusa hisia zangu ni kusoma kuwa yeye - EL - ndiye alikuwa Msimamizi wa Uchaguzi wa Mwenyekiti wa CCM Mkoa ambapo aliyekuwa mwenyekiti wa nyuma alitetea kiti chake (Nangole). Nimeguswa kusikia Lowassa anasimamia uchaguzi ambao mmojawapo ya wagomba ni Dkt Tour!
- Huyu ni mgombea wa zamani sana wa Ubunge Monduli wa enzi za Chama kimoja na akashindwa na Ole Moloimet
- Huyu aligombea na EL kura za maoni Ubunge wa Monduli 2010
- Huyu majuzi kagombea na EL kwenye NEC - Monduli ambapo EL alishinda.

Hivi uchaguzi huo ulikuwa wa uwazi na haki kweli?
 
Nimeisoma habari hiyo katika MTANZANIA. Na kwamba RADIO 5 nao wameipa habari hiyo promo, hilo sishangai sana. (umiliki wa MTANZANIA na RADIO 5 unafahamika).

Kilichogusa hisia zangu ni kusoma kuwa yeye - EL - ndiye alikuwa Msimamizi wa Uchaguzi wa Mwenyekiti wa CCM Mkoa ambapo aliyekuwa mwenyekiti wa nyuma alitetea kiti chake (Nangole). Nimeguswa kusikia Lowassa anasimamia uchaguzi ambao mmojawapo ya wagomba ni Dkt Tour!
- Huyu ni mgombea wa zamani sana wa Ubunge Monduli wa enzi za Chama kimoja na akashindwa na Ole Moloimet
- Huyu aligombea na EL kura za maoni Ubunge wa Monduli 2010
- Huyu majuzi kagombea na EL kwenye NEC - Monduli ambapo EL alishinda.

Hivi uchaguzi huo ulikuwa wa uwazi na haki kweli?

Msimamizi wa uchaguzi alikuwa Prof.Maghembe,lakini kanuni zinataka mgombea wa nafasi ya uenyekiti ajiudhuru,baada ya kujiudhuru wajumbe huchagua M/kiti wa muda kuongoza mkutano huo,
 
anaumwa stroke huyu mzee,sasa amejiingiza kwenye matatizo zaidi na nahisi mwisho wa maisha yake upo karibu kwani atashangaa matokeo yake ya 2015 yatakavyokwenda kinyume chake
 
Simple mind discuss people. Peleka maneno yako kwenye magazeti ya shigongo

You got it wrong mate...

Usindandie treni kwa mbele coz itakuua kisha tukasema marehemu aliigonga treni.

Leta hoja, nini kinamwaminisha Lowasa kuichukua AR iwapo hakufaulu kumsaidia B. Buriani (2010) na Siyoi (mkwewe) kule Arumeru???
 
yakhe maneno swadakta; Chadema wanga`ara na shati la kuazima; ngumi mkononi bora tuchukue shati letu!
 
Msimamizi wa uchaguzi alikuwa Prof.Maghembe,lakini kanuni zinataka mgombea wa nafasi ya uenyekiti ajiudhuru,baada ya kujiudhuru wajumbe huchagua M/kiti wa muda kuongoza mkutano huo,

Unless nilisoma vibaya au MTANZANIA wameandika ndivyo sivyo.
 
Huu moto wa kisiasa Arusha hakuna awezae kuuzuia jamani hata alete wabunge wote wa CCM, baraza lote la mawaziri, party strategists, marais wastaafu na DHAIFU pia aje HAKIKA hawatashinda na hata kama CHADEMA tutamsimamisha msukuma mkokoteni. AC2ZOEE.
 
Back
Top Bottom