okonkwo jr
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 2,419
- 1,739
Jane Lowassa huwezi kumshauri huyu babu LOWASSA atulie na kulea wajukuu?
UmenenaAhadi iliyowahi kutimizwa na lowasa ni kuuza ranch za taifa tu
Ccm mkimuona lowasa mnaanza kutetemekaHivi huyo babu si mgonjwa huyo?
Katafute mabwana I'm not interested na machoko kama wewe.....mbaya zaidi we ni choko afu nyumbuni aheri nyumbu kuliko bwabwa
We hukumwelewa Lowassa alisema akishindwa ndo ataenda kuchuunga ng'ombe . kwan alishindwa ? Mimi naamini alishinda kwahyo hana haja ya kuchuunga wakati alishinda uchaguz ila time haikumtendea hakiLOWASSA ACHA KUPOTOSHA UMMA,
PUMZIKA AU TIMIZA AHADI YA KUCHUNGA.
Aliyekuwa mgombea wa urais kupitia
Chadema, Ndg. Edward Lowassa siku ya jana
akihutubia mkutano wa hadhara kata ya Mto
wa Mbu alitoa tuhuma kadhaa kwa chama
cha mapinduzi na serikali yake.
Baadhi ya madai ambayo ameyasema, ni
kuwa wapo watu wanaozunguka kutaka
kuwahonga madiwani wa chadema milion
ishirini(20,000,000/=).
Tungependa atumie jukwaa kuwataja hao
anaodai kuwa wanapita kuwahonga hizo pesa.
Tungependa kumwambia kuwa chama cha
mapinduzi hakina huo muda wa kuwahonga
hao madiwani. Atuambie hao madiwani
wanahongwa kwa lengo lipi? Na hizo pesa
zinatoka wapi?
CCM imeshinda madiwani na wabunge wengi
kuliko chama chochote kile. Sisi tunaamini
alichokifanya Lowassa ni siasa uchwara za
majukwaani. Kwani anajua fika hakuna jambo
kama hilo. Huo ni mwendelezo wake wa
maigizo ambayo tayari watanzania
washayajua tayari.
Watanzania wanajua dhamira ya dhati ya
serikali ya awamu ya tano katika mapambano
dhidi ya rushwa, ufisadi, uzembe na
udanganyifu. Kwa hali ya nchi ilivyosasa hizo
pesa zote anazodai zitatoka wapi? Ni vema
akawa mkweli mana utamuweka huru.
Pia, Lowassa anadai Chama chake kilishinda
uchaguzi mkuu wa 2015 ni dhuluma ilifanyika
dhidi yake. Tungependa kumhakikishia kuwa
CCM ilishinda kihalali kuanzia madiwani,
wabunge na rais. Ushindi wa rais ni 62% ya
kura zote. Waangalizi huru wa ndani na nje
walithibitisha kwa ripoti zao bila shaka
yoyote. Pia, awali tuhuma hizi zilitolewa na
Chadema kuwa wanaushahidi wa kutosha
kuuthibitishia umma kuwa waliibiwa kura,
lakini mpaka sasa wameshindwa kuonyesha
hjo ushahidi wao. Hivyo basi, tunaamini
anachokifanya lowassa ni muendelezo wake
wa maigizo. Tunapenda aseme ukweli kwa
wanachama wao na watanzania sababu ya
wao kushindwa. Ni dhahiri kuwa sababu
kubwa ya kushindwa kwa chadema ni
kutoaminika na watanzania walio wengi na
mambo mengi ambayo ni dhahiri ilipelekea
wao kushindwa.
Kauli aliyoitoa jana kudai kuwa Chadema
imeishika pabaya CCM ni uongo uliopitiliza.
Sisi tunaamini kazi ya kutafuta ushindi wa
2020-2025 imeshakamilika tayari. Kasi ya
serikali ya awamu ya tano katika
kuwahudumjia watanzania na dhamira ya
dhati aliyonayo Rais wetu mpendwa John
Pombe Magufuli ni kielelezo tosha cha
ushindi. CCM ina kazi moja tu ya kuhakikisha
inasimamia utekelezwaji ea ilani yake ya
2015-2020. Tunapenda kumhakikishia
watanzania wanajua ukweli ni upi na maigizo
ni yapi. Tunamhakikishia 2020 ushindi
utakuwa zaidi ya 80%.
Lowassa amejinasibu jana kuwa kitendo chake
cha kukaa kimya ndicho kilichopelekea nchi
kuwa katika amani tulinayo sasa. Tunapenda
kumkumbusha kuwa hiyo sifa anazozitaja ni
kwasababu tu ya malezi bora yaliyotukuka
aliyoyapata akiwa CCM tangu alipozaliwa
mpaka hivi sasa. Kwanza wanapaswa
kuipongeza CCM, lakini pili anapaswa
kutambua kuwa amani iliyopo imetokana na
mungu kuzidi kuipenda Tanzania yetu. Mhimili
mwingine wa amani ya Tanzania ni waasisi
wa taifa hili Hayati Baba wa taifa Julius
Nyerere na Abeid Karume. Hivyo, kitendo cha
yeye kujitukuza ni muendelezo wa siasa zake
maigizo.
Lakini tunampongeza pia kwa kutambua na
kuwaeleza ukweli Chadema si chama cha
kisiasa bali ni chama cha kiuanaharakati
ambacho hakina dira ya kuliongoza taifa letu.
Kwakuwa ameliona hilo na kuamua
kuwabadilisha kimfumo tunamsihi sana
chama chao kijikite zaidi katika siasa za
maendeleo na sio majungu na vurugu ambazo
zimewafanya kutokuaminika kwa miaka yote
24.
Mwisho, tunapenda kuwasihi watanzania wote
kupuuza aina yoyote ya uchochezi ambao
unafanywa na chadema. Kwakuwa muda wa
uchaguzi umekwisha, muda uliopo ni
wakufanya kazi tu ili tulete maendeleo yetu.
Vijana wa Chama cha mapinduzi hatutakubali
kumvumilia yeyote ambaye atataka kulivuruga
taifa letu. Tunamwambia tutakula naye
sahani moja.
Tufanye kazi kwa bidii kuunga jitihada za rais
wetu.
Hapa kazi tu.
Maelezo marefu nimeshindwa hta kusoma maana toka nimeanza kusoma nimeona ni upuuzi 2 nimeona niishie pale uliposema kuwa lowasa anadai kuwa chama chake kilishinda ila alichakachuliwa.
Hivi wewe ni nani kuhakikisha kuwa CCM walishinda au hpana. Na Unaweza muhakikishia nani akakukubali?
iN SHORT YOU ARE NO BODY
Na kama Lowasa anatangaza hbar za uongo na uchochezi TCRA inabidi wamchukulie hatua ili atoe ushahidi kama kashinda kweli na ni kitu ambacho CCM hwawezi fanya maana lowasa anatafuta platform ya kutoa ushahidi wake lakini CCM hwawezi mpa chance maana wanajua walichokifanya uchaguz mkuu.[/QUOTA sisi sio nyumbu wenzio kwani tunaupeo wa kufikiria wew..... Huo ushahidi unasubiri mpaka hao sisiemu wamtie vidole vya Matako au...????? Maana Kama ushahidi upo ninaimani angeutoa mapema sana anachosubiria ni nin...???