Lowassa sikuamini na sitakuamini

Lowassa sikuamini na sitakuamini

Ccm wamelipwa kusambaza uzushi tuu....
Mmechelewa gari imeshawaka
 
Mtoa mada rudi shule kwanza. Uandishi wako ovyo kabisa na nina wasiwasi hata darasa la7 hukufika.
 
mimi binafsi kile kitendo cha lowasa kutoka ccm nilimsamehe siku ile ile. lowasa kura yangu unayo.
 
Bila shaka mleta maada ni fisadi. Unategemea kumpenda lowasa wakati unajua utashughulikiwa?. Hatukuhitaji na jiandae kusulubiwa gamba wewe. Wananchi tumeamua ni lowasaaaaaaaaaaaaaa.
Mafisadi wenzio kwa maelfu unao huko fisiemu au kama vp toroka uje. Hapana usije iki ushughulikiwe kwanza. Watu wote sema lowasaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Bla bla unarudia ngonjera za mahafali hapa, kama unasikia kichefuchefu kalambe ndimu, swine.

Hakuna mtu wakutuaminisha lowasa ni mchafu kuliko waliobaki CCM na CCM yenyewe, labda mtuambie wote hawafai tumpe mama anna wa ACT au Hashimu Rungwe wa Chauma.

Lakn kumponda lowasa ili tuikubali CCM ni UJINGA

CCM ni choo kichafu,ccm ni kiwanda cha kuzalisha mafisadi,ccm ni kichaka cha kuficha mafisadi.
 
Sisi Wapumbavu,malofa,mbumbumbu na kunguni tunamkubali,tunampenda na tutamchagua EDWARD NGOYAI LOWASSA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom