KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,364
- 6,256
Kila nikisikia mtu anasema lowassa napata kichefuchefu zaidi..na kumbuka kauli yke akiwa sheikh Amir abeid alisema 'nchi hii ikiwa na watu ishirini kama karamagi serikali yngu inawza kopa ndani kwa ndni' siku moja kbla nackia ngurdoto marafki zako wakwasi waliandaa hafla ya kukuchangia...mjA kwa mja nilijua kua hufai .nashukuru baba yngu magufuli hata nia bdo hajatangaza...mzee nakuheshimu sana.ila kauli yko ilinifanya nifikirie mmbo mengi; 1.ina maana unaitaka ikulu ili ujitajirishe ww na wenZako kwanza ili tuje kukopa kwenu ili kina pamela na wajukuu zako waje kutudai bdae... 2.mzee unasema hukutendewa haki Dodoma,mbna hujatuambia wapi hatujakutendea haki: 3.mzee unatuambia tuitoe ccm mambo mengne yote bdae,yni miaka yote hio ukipewa nafasi za uwaziri hukuliona hili Unataka Leo tukuunge mkono kwenye visasi vyako;nnachokwambia dmu yoyote itakayomwagika ya kijana yoyote itakulilia ww. .4:mzee unadai Richmond ulionewa tuambie kwa mdomo nani alikuonea acha kuwatuma kina lissu ambao wanaonekana wanafiki kwa wananchi kwa kukiuka maneno yao. 5..mzee ww ni fisadi hata kama sio kwa Richmond minongo'no haikuanzia hapo...umeliibia taifa hili hata kama sio kwa ela Bali kwa kunyamazia tu ufisadi miaka yote hii bdo umeshiriki...kama Unataka kutufanyia Toba kwa watanzania Kafanye kanisani sio ikulu..we vishawishi kwnye uwaziri ulishindwa vya uraisi utaviweza. 6.mzee unAjisikiaje vijana wakikesha mitandaoni wakikutetea kwa kutukanana ili Hali unajua ww si msafi.
My take: ulipaswa utulie na ikibidi ustaafu Siasa kbsa.asa kwa kua huelewi NGja tukustaafishe na vichinjio tarehe 25 maana somo tulilokupa Dodoma hukulielewa... Kwa nimgwhira magufuli lyimo au dovutwa wakiwa maraisi ungepungukiwa nn...au unaogopa mziki wa Tingatinga,nasema hvi tutakufilisi..Yana mwisho michezo yko ya kununua viongozi imefika tamati sasa..tarehe 28 jibu utalipata nakuambia
My take: ulipaswa utulie na ikibidi ustaafu Siasa kbsa.asa kwa kua huelewi NGja tukustaafishe na vichinjio tarehe 25 maana somo tulilokupa Dodoma hukulielewa... Kwa nimgwhira magufuli lyimo au dovutwa wakiwa maraisi ungepungukiwa nn...au unaogopa mziki wa Tingatinga,nasema hvi tutakufilisi..Yana mwisho michezo yko ya kununua viongozi imefika tamati sasa..tarehe 28 jibu utalipata nakuambia