Lowassa Profile, KTN KENYA

Lowassa Profile, KTN KENYA

Baada ya kuangalia Clip hiyo nimeconclude kweli Nabii hakubaliki kwao maana hiyo Clip imemuelezea Lowasa kwa kifupi lakini imemaliza kila kitu na inaonyesha jinsi gani Lowasa ni mpambanaji....Lakin labda ni uwezo wa waandishi wetu wa habari hapa TZ upo chini kiasi kwamba wameshindwa kuandaa clips zinazosisimua kama hizi...Kudos KTN
 
Tatizo la huku kwetu reporter muda wote ana wasiwasi kutangaza kama lilivyo! Ana hisi bosi wake anaweza asipende habari hiyo au anaweza kuogopa vitisho kutoka serikalini!
 
Baada ya kuangalia Clip hiyo nimeconclude kweli Nabii hakubaliki kwao maana hiyo Clip imemuelezea Lowasa kwa kifupi lakini imemaliza kila kitu na inaonyesha jinsi gani Lowasa ni mpambanaji....Lakin labda ni uwezo wa waandishi wetu wa habari hapa TZ upo chini kiasi kwamba wameshindwa kuandaa clips zinazosisimua kama hizi...Kudos KTN

Waandishi wanaosubiri bahasha za khaki ili waje kuripoti habari yako?
 
Baada ya kuangalia Clip hiyo nimeconclude kweli Nabii hakubaliki kwao maana hiyo Clip imemuelezea Lowasa kwa kifupi lakini imemaliza kila kitu na inaonyesha jinsi gani Lowasa ni mpambanaji....Lakin labda ni uwezo wa waandishi wetu wa habari hapa TZ upo chini kiasi kwamba wameshindwa kuandaa clips zinazosisimua kama hizi...Kudos KTN


so touched.........hapa ni kufanya kweli jumapili......wakenya watatucheka sana,,,,,kama tukirudi nyuma
 
Waandishi wetu wanasubiri cha kuambiwa ila sio kuchunguza........na wanapoona zile bahasha za kaki huwa wanachanganyikiwa sana.
 
Wanayo profile ya Magufuli au wapo biased.
 
Watatushangaa sana endepo tuko serious kumpigia kura
 
Wanairudia sana kwenye channel yao nyingine ya KTN News. Wamerudia tena muda mfupi uliopita
 
Tukiichagua ccm sio tu kenya wanatushangaa bali dunia yote inacheka, wachina watafurahia kuwa wametuchagulia ccm wacha tuwale tena haha
 
Back
Top Bottom