Kumbe kuna "kapi" linatafutwa afu 2020 Lowassa atatoswa kiaina.2010 mliaminishwa ni mbowe cha kushangaza akletwa dk slaa na kuzoa kura mamilioni..... then
Mlijiaminisha hivi hivi kwa dk slaa kuwa atagombea 2015.....mwisho wa siku mkapewa suprise package mkabaki mnaduwaa na kma sio NEC na polisi yangekuwa mengine kabisa sahivi.
Haya nyie jiandaeni na lowassa 2020 trend ile ile iendelee muhim muweke tume huru coz atakayeletwa lazma awatingishe maana hamjajiandaa naye nyie mnakomaa na lowasa kma mlivyokomaa na slaa 2010-2015
Poor Lowassa, ya Dr. Silaa yanakufuata.