Ngalikivembu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,959
- 876
Ulisema kosa lake halina Msamaha, leo kimetokea nini? Kuna sheria imekiukwa? Ni vizuri kuweka akiba ya manenoWewe na mtu wako wote ni machizi, kuhusu sheikh ponda hukumu yake ilikuwa imeshatayarishwa kabla ya hata magufuli hajaapishwa ila ilikuwa inaahirishwa kwa dharura tofauti hata wakati mwingine ilikuwa hakimu ana majukumu mengine n.k lakini issue ya babu seya ni tofauti kwani yeye alishahukumiwa siku nyingi na bahati mbaya kesi kama yake ya kubaka tena vitoto haina msamaha, lakini pia acha kupotosha kuwa alihukumiwa 2006 ukweli alihukumiwa 2004
Sema lingineKampeni meneja wake ni mbovu kuliko hata wa Dovutwa
Habari ya hapo Lumumba?Kampeni meneja wake ni mbovu kuliko hata wa Dovutwa
Hao hawajahukumiwa.Bado Masheikh wa UAMSHO
Wameteseka sana, miaka 14 gerezani.Lowasa katimiza ahadi kabla ya kutwaa madaraka
Huyu ni wa kumsamehe tu, mwache apotee.Naomba mwenye video zileeee za EL alipotoa ile ahadi ya kuwaachia huru...
Nyingine ni ile aliyoponda huyu aliyetekeleza leo.
Tafadhali sana
Umefukua kaburi[emoji3][emoji3]Ohoo napita