Lowassa: Nimeishafunga magoli ya urais


Una mtindio wa ubongo wew. Nenda kwa kamati ya bunge utakuta hizo data kuhusu hizo kasfa zake za ufisadi. Usitufanye watz ni wajinga kama wee ati hatujui ufisadi wake. Nje na ndan ya nchi inajulikana..
 
Last edited by a moderator:

Huwezi kuzuia mafuriko kwa mikono, Watanzania ndio wanaotaka wamdhamini ili kumuonesha kuwa wako nae katika safari ya MATUMAINI, LOWASSA anawanyima sana usingizi, nouma sana
 
mungu gani huyo anaeruhusu wizi na visasi? Kifupi Edward ameanza na shetani na atamalizana nae pale kamat kuu ya cc itakapotupilia mbali jina lake.

Hujui ukisemacho, Lowassa hana roho hiyo ya kulipa kisasi na hili linathibitika alipokuwa akiongea na wahariri wa vyombo vya habari na kusema, "Siamini katika kufufua makaburi, mimi ni Mkristo na tunafundishwa kusamehe 7 mara 70, my heart is clean, moyo wangu ni mweupe" LOWASSA anawanyima sana usingizi, nouma sana
 
Lowassa kwa sasa anayefaa kuwa rais wa Tanzania kutokana nakuwa na maamuzi ya kuweza kuitoa Tanzania hapa ilipo na ikasonga mbelekimaendeleo.

 
Unajuamambo ya forever living wewe?.......
lowasa akiwapa hela watu 10 anawaagiza kila mmoja kutafuta watu30 na hao 30wanaafuta kila mmoja watu 20 na kuendelea......Wengi wanaobaki ni benderakufuata upepo kutegemea wale wa mwanzo. Ndio maana wanaotaka lowasa awe raismara zote huwa hawana sababu zozote za msingi na hapo ndipo nguvu ya pesainapojidhihirisha.
Mtaji wa lowasa ni masini wa aina tatu
1. Masikini wa kipato
2. Masikini wa akili (eliumu ndogo)
3. Masikini wa taarifa zinazomhusu lowasa


 
Mungu yupi?usibebe dhambi kwa kumtetea fisadi.hivi huyu akipitishwa watu hawataguna kama alivyosema mwenyekiti wao?msitenge akili kwa kupofushwa na fedha.
mkerewe

Inaelekea wewe ndio msaidizi wa Mungu maana una uhakika kua Mungu hayupo pamoja na Edo

Mnafki mkubwa wewe unamchukia mtu mpaka unakufuru Mungu unadhani Mungu ni mjomba wako watu wengine sijui ubongo wenu una funza?

Kusoma hujui na picha nayo huoni? Hao walio pamoja na Mungu mbona hatuoni watanzania wakiwakubali

Edo The Next President

Na hii ndio safari ya matumaini


Mwaka huu wakuda mtasanda sana
 
Last edited by a moderator:
jaura

Uongozi ni karma
LOWASSA has been born to be a leader

Mtaongea maneno yote lakini He is a true leader

Suala La afya mgogoro ulimpima lini na wapi

Lete vithibitisho kutoka huko ujerumani unaposema anatibiwa

Unasema lowassa a nanunua makundi basi tunaomba utuambie ameyanunua kwa shilingi ngapi na akina nani waliolipwa lini na SAA ngapi

Mwisho nakushauri siku nyingine ujipange maana umekurupuka.
 
Last edited by a moderator:

Kwani wanakuaga hata na evidence si wanakurupukaga tu

Lowassa anawatetemesha hawaoni pakushika lazma wadate

False accusation ndio akili walio nayo.
 
Last edited by a moderator:

Kweli ni ya matumaini maana muda wowote ARV's zikiisha nguvu ana rest in peace vinginevyo uwe unamkumbusha kuboost asiwe busy na kutafuta wadhamini tu.Sikushangai sana maana najua uko kazini una mtetea ili upate ugali wako wa kila siku.wala siwezi kukushangaa maana uwezo wako wa akili ndio unaokuaminisha kuwa fisadi anaweza akaongoza nchi.napata shaka na uwezo wako wa kufikiri.
 
Last edited by a moderator:
lowassa ni JOKA LA MDIMU linalovizia rasilimali za taifa kwa kutumia kila hila chafu.

Leteni ushahidi jamani mbona kila siku tuhuma tuuuuu no evidence

Mtakufa midomo wazi kwa kumsema lowassa kwa mambo ya Uongo

You dumb and dumbers
 
Lowasa alianza na LUCIFER atamaliza na LUCIFER.

Siku zote maneno ya laana juu ya asiekua ma hatua Mungu huyageuza na kua Baraka

LOWASSA ALIANZA NA MUNGU NA ANAMALIZA NA MINGU

na hii ndio safari ya matumaini

LOWASSA ndio Rais wa Tanzania huyu huyu msiemoenda ndio Rais.
 
Chuki imekuwa Kali sana/
sijui alichukuwa mke wa mtu au nini!!!

Huyu tpaul

Katumwa na ibilisi amchafue LOWASSA ambapo hawajui kua Mungu ndie amemchagua kuliongoza Taifa La Tanzania


Sasa wewe tpaul nakutuma kamwambie huyo shetani unaemwabudu kua EDWARD LOWASSA ni wa Mungu na ni wa watanzania.

na hii ndio safari ya matumaini iliowekwa wakfu na Mungu mwenyewe
 
Mungu yupi?usibebe dhambi kwa kumtetea fisadi.hivi huyu akipitishwa watu hawataguna kama alivyosema mwenyekiti wao?msitenge akili kwa kupofushwa na fedha.

Ni ujinga kutangaza ufisadi wa mtu wakati huna maelezo yasiyo na mashaka juu ya tuhuma zake. Wanadamu wana kawaida ya kumhurumia mtu anayetuhumiwa katika makosa yasiyoeleweka. Lowasa atashinda urais kutokana na huruma za wananchi na ninyi waropokajimtabakia kumwita fisadi huku akiudhibitishia ulimwengu utumishi uliotuka
 

Tuhuma tu peke yake maana yake ana kasoro kwa nini asituhumiwe mwingine? kwa usafi gani mpaka awe kiongozi aliyetukuka? Ikulu ataisikia tu.
 
Umeanza kupata akili. Jiulize mbona tamaa ya ikulu ni kubwa hivi? Eti ni nia ya fisadi kutukomboa?
 

Hivi kwanini huwa humalizagi dozi za uchizi? U nadhani bila kumalizia dozi kichaa kitakupona?

Ona sasa unaongea mambo ambayo hata hayapo mbaya zaidi huna hata elimu angalau kichaa ningekua balanced

Go to school loosed


ENL the President 2015
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…