rashidforeseerer
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 1,000
- 440
tpaul
Kama Raia niliyehudhulia udhamini wa wana CCM waliojitokeza mkoani Kilimanjaro kumdhamini, LOWASSA alichosema ni kwamba ashawapiga magori wagombea wengine wa CCM hasa kwa kupata idadi kubwa ya Wadhamini waliojitokeza kumdhamini.
Ufisadi unaousema ungetuonesha hapa vyanzo vya taarifa ya ufisadi wake tungeamini lakini kwa kuwa unaongea usichokijua nakuona kama mwehu, No research No Right to speak
yeye anazidisha ili kutafuta umaarufu wa kijinga. ni sawa na mwanafunzi anayesoma masomo ya DS na BAM kwa bidii huku akijitoa akili kwamba akiscore A+ atajaziwa S! ni sawa kabisa na huyu fisadi lowassa, mpenda sifa anayetafuta umaarufu uchwara kwa kuhonga wananchi wenye njaa kutumia fedha za wizi.
mungu gani huyo anaeruhusu wizi na visasi? Kifupi Edward ameanza na shetani na atamalizana nae pale kamat kuu ya cc itakapotupilia mbali jina lake.
Jambazi kuu linatafuta uenyekiti Wa majambazi..
mkereweMungu yupi?usibebe dhambi kwa kumtetea fisadi.hivi huyu akipitishwa watu hawataguna kama alivyosema mwenyekiti wao?msitenge akili kwa kupofushwa na fedha.
jauraLowassa kafungwa magoli ya urais ,uadirifu wa mashakamashaka goli moja,sifa 13 alizotangaza Mangula magoli 4 amfungwa Lowassa
Hebu oneni:-
[h=1] [/h][TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Kigezo [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Jaji Agustino Ramadhani [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Edward Ngoyayi Lowassa [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Umri [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Miaka 70 [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] 62 [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Elimu [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Ni ya juu ngazi ya shahada ya sheria [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Elimu ya juu ngazi ya shahada [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Uzoefu wa kazi [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Amebobea kwenye mhimili wa dola upande wa mahakama [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Amebobea kwenye mhimili wa dola upande wa serikali na bunge [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Uadirifu [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Hakuna mashaka yoyote kuhusu uadirifu wake [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Kuna mashaka mengi sana kuhusu suala la uadirifu [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Kazi alizofanya [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Jaji, mwanajeshi, mchungaji [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Kichunga ng`ombe, katibu wa chama, mkurugenzi IACC, mbunge, waziri, waziri mkuu. [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Historia kazini [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Amefanya kazi serikalini hadi amestaafu kwa mjibu wa sheria [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Alijihudhuru uwaziri mkuu kwa tuhuma ya kuipa tenda ya kufua umeme na kuiuzia Tanesco kampuni ya richmond ambayo haikuwa na sifa [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Kugombea urais [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Hajawahi kugombea labda hii itakuwa ni mala ya kwanza [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Aligombea mwaka 1995 jina lilikatwa kwa kukosa sifa [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Hali ya kugombea urais iliyopo hivi sasa [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Ameombwa agombee tena ameombwa sana [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Alianza mda mrefu kuonyesha nia ya kugombea urais, kuna mashaka mengi anahonga, ananunua makundi ili yamuunge mkono [/h] [/TD]
[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] [h=1] Afya [/h] [/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] [h=1] Afya yake ni imala sana [/h] [/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] [h=1] Afya ni mgogoro mala nyingi huenda Ugermani kupima afya, mala kadhaa huwa na kitetemeshi hasa asubuhi, hana uwezo wa kuhimili mikikimikiki kwa mda mrefu [/h] [/TD]
tpaul
Kama Raia niliyehudhulia udhamini wa wana CCM waliojitokeza mkoani Kilimanjaro kumdhamini, LOWASSA alichosema ni kwamba ashawapiga magori wagombea wengine wa CCM hasa kwa kupata idadi kubwa ya Wadhamini waliojitokeza kumdhamini.
Ufisadi unaousema ungetuonesha hapa vyanzo vya taarifa ya ufisadi wake tungeamini lakini kwa kuwa unaongea usichokijua nakuona kama mwehu, No research No Right to speak
mkerewe
Inaelekea wewe ndio msaidizi wa Mungu maana una uhakika kua Mungu hayupo pamoja na Edo
Mnafki mkubwa wewe unamchukia mtu mpaka unakufuru Mungu unadhani Mungu ni mjomba wako watu wengine sijui ubongo wenu una funza?
Kusoma hujui na picha nayo huoni? Hao walio pamoja na Mungu mbona hatuoni watanzania wakiwakubali
Edo The Next President
Na hii ndio safari ya matumaini
Mwaka huu wakuda mtasanda sana
lowassa ni JOKA LA MDIMU linalovizia rasilimali za taifa kwa kutumia kila hila chafu.
Lowasa alianza na LUCIFER atamaliza na LUCIFER.
Chuki imekuwa Kali sana/
sijui alichukuwa mke wa mtu au nini!!!
Mungu yupi?usibebe dhambi kwa kumtetea fisadi.hivi huyu akipitishwa watu hawataguna kama alivyosema mwenyekiti wao?msitenge akili kwa kupofushwa na fedha.
Ni ujinga kutangaza ufisadi wa mtu wakati huna maelezo yasiyo na mashaka juu ya tuhuma zake. Wanadamu wana kawaida ya kumhurumia mtu anayetuhumiwa katika makosa yasiyoeleweka. Lowasa atashinda urais kutokana na huruma za wananchi na ninyi waropokajimtabakia kumwita fisadi huku akiudhibitishia ulimwengu utumishi uliotuka
Kweli ni ya matumaini maana muda wowote ARV's zikiisha nguvu ana rest in peace vinginevyo uwe unamkumbusha kuboost asiwe busy na kutafuta wadhamini tu.Sikushangai sana maana najua uko kazini una mtetea ili upate ugali wako wa kila siku.wala siwezi kukushangaa maana uwezo wako wa akili ndio unaokuaminisha kuwa fisadi anaweza akaongoza nchi.napata shaka na uwezo wako wa kufikiri.