Lowassa ni mzuri katika 'to get things done'

Lowassa ni mzuri katika 'to get things done'

Mwanamayu

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2010
Posts
11,701
Reaction score
6,930
Moja ya sehemu ya jarida la 'Tanzania Country report' linalochapishwa na the Economist Intelligence Unit ya Uingereza linaonesha kuwa Lowassa ni mzuri katika 'to get things done'. Video hii inaonesha uwezekano wa ukweli kwenye uchambuzi wa jarida hilo. Hivyo akipewa Urais ile vision 2025 ina uwezekano mkubwa wa kuwa 'to get done' kwa asilimia kubwa.

 
Last edited by a moderator:
Katika wakati huu hakuna Kiongozi mahili na aliyefocussed anaeweza kuipeleka nchi hii kwenye maendeleo ya kweli kama Lowasa. Hizo kashifa anazozushiwa siku atakapozielezea ukweli wake publically hao magamba watatafuta mahali pa kujificha.
 
Katika wakati huu hakuna Kiongozi mahili na aliyefocussed anaeweza kuipeleka nchi hii kwenye maendeleo ya kweli kama Lowasa. Hizo kashifa anazozushiwa siku atakapozielezea ukweli wake publically hao magamba watatafuta mahali pa kujificha.

Tusitoke kwenye ukweli. EL ni mchafu. Muhimu hapa tukubaliane tu juu ya ukweli kuwa katika siasa hakuna adui au rafiki wa kudumu
 
Tusitoke kwenye ukweli. EL ni mchafu. Muhimu hapa tukubaliane tu juu ya ukweli kuwa katika siasa hakuna adui au rafiki wa kudumu

Binafsi napenda sana kujua huo uchafu wa Lowassa ni nini hasa. Maana wapo wachangiaji wanasema ni fisadi, mchafu n.k lakini huoni wakianisha huo ufisadi wake. Hebu mnao jua tujulisheni vinginevyo nyamazeni. Huyo bwana alikuwa na kinga gani ya ajabu hata asishtakiwe kama wengine. Tumechoka.
 
Magufuli anakurupuka maamuzi yake hafai kuwa raisi ila anafaa kuwa mtendaji mkuu
 
Back
Top Bottom