nuruyamnyonge
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 4,439
- 2,287
Hakika! CCM ikiweka mgombea bogus hata mimi nitapigia UKAWA
Wakimpitisha huyo Richmond wamekwisha itakuwa ni nyimbo za ukawa nchi nzima
Hakika! CCM ikiweka mgombea bogus hata mimi nitapigia UKAWA
Huu ndio ukweli,kama huamini subiri.
Nafasi ya Lowassa iko ACT wazalendo.Hii mbona siyo siri.lowasa aanzishe chama chake aondoke na wanachama wanaomtaka.
Si kweli kuwa kila mtanzania, hata Lowasa ni mtanzania na ccm ni watanzania. Sasa kama kila mtanzania anaombea ccm wamkatae Lowasa in maana Hata Lowasa nae hajitaki!?Kijana inaonekana bado una hangover za jana, ingawa ni kweli kila Mtanzania anaombea CCM wamkatae mwizi Lowassa!
MaCCM yanaruka na kukanyagana
Huu ndio ukweli,kama huamini subiri.
Si kweli kuwa kila mtanzania, hata Lowasa ni mtanzania na ccm ni watanzania. Sasa kama kila mtanzania anaombea ccm wamkatae Lowasa in maana Hata Lowasa nae hajitaki!?