Lowassa Mbona Hatuoni Umaarufu Wake

Mugisher

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
411
Reaction score
360
Leo ni siku ya pili tangu ' waziri mkuu aliyejiuzulu' kujiunga na chama cha kupokea mafisadi. Nilitegemea kwa huo umaarufu wa social media 'vigogo' kibao wangejiunga naye. Ila wapi..... Porojooo tupu. Umaarufu wa kwenye jamii forum. Lowassa is hopeless. Kwanza hana afya ya kufikiri. He is slow in body and mind. Lakini hii ni season ya excitement. Atleast tutaanza kununua magazeti. Lowassa has brought the stimulus but will never win.
 


Haya Kavae pampasi usije ukakojoa kitandani dada. Usiku mwema
 
Kachukue Mwananchi ya leo
Page ya Kwanza hadi Nane zote ni Lowasa tu
 
Atakapoanza kuwanyoosha ndiyo utajua Ana afya hata ya kumakaz.... Mama yako
 
we dada punguza jazba kwanza ume andika title "hatuoni" kwan mko wa ngap
 
Dada kesho shule lowasa sio Wa Facebook na Instagram lowasa ni rais mtarajiwa kalale kesho shule
 
Tunasema tumg'oe kwanza huyu halafu baadae tutaona cha kufanya. Ni ujinga uliopita mipaka na kuwafanya watanzania kama hamnazo
 

Hamuoni na nani huyo? Nadhani itakubidi utulize akili kwanza. Ni nani mnaye mwona ninyi mwenye umaarufu wewe pamoja na hao unao ona nao?
 
Muanzisha thread fook you! Mods nisameheni pls hawa watu wanaboa..
 
Bila shaka ulitaka kuona kitu kikubwa kama tufe siyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…