1. Kama hujawahi kuunga mkono ujio wa Lowasa CHADEMA, sasa hebu tuoneshe ushahidi wowote wa wewe kupinga ujio wake Chadema.
2. Kama hujawahi kuunga mkono ujio wa Lowasa CHADEMA, ni kwanini sasa unashindwa kutetea/kushikilia msimamo wako kama mwanaume kwamba ''Lowasa ni tumaini la mafisadi, wezi, wahuni, majangili, magaidi, na wauza unga''?
View attachment 374460