Lowassa matatani zaidi

Acha kuonyesha utaahira hadharani wewe! Si kila aliyepinga ujio wa Lowassa aliamua kujiondoa CHADEMA.

Mfano mwepesi tu kwako ujio wa Trump umepingwa na wengi sana ndani ya GOP ikiwemo family yote ya akina Bush umesikia hata mmoja katika familia hiyo kajiondoa GOP!?

Wewe huko kwa wahuni na mafisadi. Mkapa fisadi, Kikwete fisadi, dikteta uchwara fisadi na wale walioitukana CCM walipoamua kujiondoa sasa wamerudi tena CCM na kupokelewa kwa shangwe kubwa, unasubiri kitu gani? Mbona hujiondoi ili kupinga kinachoendelea ndani ya chama cha wahuni na mafisadi!?

Chama siyo mtu wewe bali ni Sera leo hii Lowassa anaweza kutangaza kurudi CCM na CHADEMA haitakufa akiamua kufanya hivyo.

Waliopinga ujio wa Lowasa hakuna aliyebaki kuendelea kuitetea Chadema,now wanaitwa wasaliti (Dr Slaa et all)

Nashangaa wewe bado unatetea chama ambacho kinaongozwa na uliyemwita fisadi mwizi
 
A figure with extreme intelligence and amazing calmness
Tutaishia tu kumsema huku mitandaoni kwa wale wasiompenda lakini kamwe hakuna hata mmoja atakayethubutu kumface ana kwa ana nakumdiss
Tukatae tubishe tutukane tubeze tukejeli lakini ukweli utabaki kuwa ukweli Lowassa has unique values ambazo wanasiasa wa Tanzania hawana
 
Acha kabisa, siasa sio mchezo mzuri. Juzi walimtukana mzee Lowassa, leo amevalishwa ngozi ya kondoo.
Wanakwambia tatizo mfumo sio mtu sasa cha kushangaza walikuwa wanashambulia watu katika list of shame wamewataja uzuri tu tena wakaenda mbali kwa kuwaita watu kwenda kupimwa akili au kukamata vibaka waqt mtuhumiwa yupo. Nukuu zao wenyewe watu ndio wanapita mulemule katika siasa pande mbili lazima ziwepo ila kila mtu atumie akili yake.
 
Mkuu..bado upo hai??
 

Hizo sera zinaandaliwa na watu na zinaandaliwa kwa ajili ya watu.
Pole naona leo unatukana tu i hope now umejifunza next time utaweka akiba ya maneno,inakuwaje leo unajadiliana na taahira ?
 
Hile thread ya magufuli anamshawishi lembeli kurudi ccm mbona admin kaifuta na hii imebaki au jf nayo ni ya ikulu siku hizi nini! Nijuze maana nilikuwa kando miezi kadhaa
 
Nilibaki na mshangao mkubwa nilikasirika sana, lakini sikuunga timu FA.
Nakubaliana na maneno yako coz sio peke yako alie pigwa butwaa wapo wengi tu ila hawakuwa na la kufanya kusema ukweli siasa ni mchezo mchafu sana hii ya kusema no permanent friend or enemy in politics ina maana kubwa sana. Je baada ya hapo ulijipambanua kuhusu ujio wake au ulibaki kimya?
 
Hizo sera zinaandaliwa na watu na zinaandaliwa kwa ajili ya watu.
Pole naona leo unatukana tu i hope now umejifunza next time utaweka akiba ya maneno,inakuwaje leo unajadiliana na taahira ?


hahahaa huyo jamaa leo anatukana hovyo. leo kaonesha rangi yake halisi.

-Kaveli-
 


Swali zuri sana mkuu.

-Kaveli-
 
Hujitambui wewe unalazimisha mimi kuunga mkono ujio wa Lowassa wakati siyo kweli. Nimekuomba ushahidi wa kuonyesha mimi kuunga mkono ujio wa Lowassa CHADEMA na umeshindwa kufanya hivyo. Ni taahira tu anaweza kusema kitu ambacho hawezi kukithibitisha, mwenye akili timamu KAMWE hawezi kufanya hivyo. Usiwe unakurupuka kuandika uzushi humu. Jitosheleze kwanza na habari husika na tafuta ushahidi wa kutosha badala ya kumtuhumu mtu huku huna hata chembe ya ushahidi. Ningekuwa mimi nimekutuhumu humu na kukosa ushahidi wa kuthibitisha kile nilichoandika ningekuwa mstaarabu na kukwambia niwie radhi nilikurupuka.

Na kwa taarifa yako ndani ya vyama vya sasa viongozi na wanachama hawakubaliani kwenye kila issue na inapotokea hivyo watu hawakurupuki na kujiondoa kwenye chama husika.


Hizo sera zinaandaliwa na watu na zinaandaliwa kwa ajili ya watu.
Pole naona leo unatukana tu i hope now umejifunza next time utaweka akiba ya maneno,inakuwaje leo unajadiliana na taahira ?
 


Hata mimi hilo limenishangaza sana, mara nyingi post za muda mrefu namna hii zinakuwa zimefungiwa na huwezi ku-comment wala ku-edit chochote!


I wonder on this!
 
Hata mimi hilo limenishangaza sana, mara nyingi post za muda mrefu namna hii zinakuwa zimefungiwa na huwezi ku-comment wala ku-edit chochote!


I wonder on this!

Sio zote zimefungwa,kama zilifungwa kulikuwa na sababu.Labda ulikuwa uzushi baadae ukweli ukajulikana.Hii idea ya kubadilisha gia angani imefanya watu wawe vipofu wanasahau huko nyuma waliongea nini
 

1.Mbona uko kimya kwenye huo udikteta unaofanyika Chadema ?

2.Tupe ushahidi lini ulimpinga Lowasa tangu ajiunge Chadema ?

3.Vipi Zito bado ni msaliti aliyetumwa na CCM kuua upinzani?
 
Na wakati huo huo umeshindwa kuweka ushahidi wa kuonyesha mimi kuunga mkono ujio wa Lowassa CHADEMA. Kweli una akili finyu sana, unaruka ruka huku na kule lakini ushahidi wa kuonyesha mimi kubadili Gia angani huna. Jifunze kuandika kwa kuthibitisha kile unachoandika badala ya kukurupuka. Kama hii ingekuwa kesi mahakamani ningekushinda vibaya sana.

Sio zote zimefungwa,kama zilifungwa kulikuwa na sababu.Labda ulikuwa uzushi baadae ukweli ukajulikana.Hii idea ya kubadilisha gia angani imefanya watu wawe vipofu wanasahau huko nyuma waliongea nini
 

Ulishasema mimi taahira so obvious ungeshinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…