Mwana wa Nuru
JF-Expert Member
- Dec 3, 2012
- 590
- 415
Pamoja na CCM kutuambia kuwa Lowassa ni makapi yao tu, leo tumeshuhudia walivyotokwa jasho kukabliana nae.
Ni vema wakituambia ukweli kuliko kutuhadaa. Hivi nguvu zote wanazotumia ni kukabili makapi tu? Basi wao ni dhaifu sana kwani kwa uingi wao na dola yao wangemwachia tu mgombea wao mwenye nguvu na kukubalika apambane na wanayedai dhaifu.
Kuwe na uwanja sawa na refa waamuzi wa pambano wasipendelee ili tujionee kukubalika kwa ccm na mgombea wao.
Mabadiliko ni maendeleo na maendele ni mabadiliko, kwa kura yako, fanya mabadiliko kwa maendeleo nchi na vizazi vijavyo.
Ni vema wakituambia ukweli kuliko kutuhadaa. Hivi nguvu zote wanazotumia ni kukabili makapi tu? Basi wao ni dhaifu sana kwani kwa uingi wao na dola yao wangemwachia tu mgombea wao mwenye nguvu na kukubalika apambane na wanayedai dhaifu.
Kuwe na uwanja sawa na refa waamuzi wa pambano wasipendelee ili tujionee kukubalika kwa ccm na mgombea wao.
Mabadiliko ni maendeleo na maendele ni mabadiliko, kwa kura yako, fanya mabadiliko kwa maendeleo nchi na vizazi vijavyo.