Lowasa live chanel ten angalia sasa hivi sio ya kukosa
Waliokuwa wanasema hawezi ongea vizuri naomba me hapa meme tenaKuna mburushi kapiga mawani meusi meza kuu kachukua nafasi ya Mnyika, anayemfahamu tafadhali? Cdm imeuzwa dalili ndio hizi.
Waliokuwa wanasema hawezi ongea vizuri naomba me hapa meme tena
live au recorded?
Tuambieni basi kaongea nini Mh Rais mtarajiwa.....wengine tupo mbali na tv.