Lowassa kwa Tanzania ya sasa!

Lowassa kwa Tanzania ya sasa!

47pro

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2015
Posts
1,204
Reaction score
333
Hivi watanzania aliye waloga yuko hai kweli?
Huyo lowasa mchapa kazi mnasema ni sauti ya mungu, anahistoria gani nzuri katika hayo mnayo mpaka? Ama ufisadi nowadays ni uchapakazi?
Afu mambo yakianza kuwaendea kombo, wale wale wanaojiita wanamabadiliko ndo mstari wa mbele kulalamika!!!
Binafsi lowasa haezi kua Rais wa Tanzania, hivi watanzania wanaosema mabadiliko, yataletwa na lowasa ni kwa miujiza gani hata kama nchi ina rasilimali!!! Hivi jumuia ya kimataifa itatuchukuliaje?
Usitegemee any changes from lowasa, kama wananchi hawajitambui, then hata serikali ingegawa pesa even if you're not working, huwezi kupiga hatua, yeah!! Ni kweli ccm imetufikisha hapa 54 years 54 years, but who were among those who made tukafika hapa? Lowasa is the first one no lie, pia hakuna nchi yoyote duniani itaweza kupiga hatua bila ya mchango wa wananchi, je wewe hiyo miaka 54 umeifanyia nini Tanzania? Huku tukiuliza ccm imefanya nini, ili tuende sawa,
Hivyo basi lowasa hawezi kuleta mabadiliko yoyote, kwanza hana good background performance ambayo itambeba, sema wabongo tu ni washabiki!!!!
Wrong choice determine next 5 years.


# bora ushabiki wa Mpira kuliko wa kisiasa!


©University of Las Vegas Nevada!!
 
Hivi watanzania aliye waloga yuko hai kweli?
Huyo lowasa mchapa kazi mnasema ni sauti ya mungu, anahistoria gani nzuri katika hayo mnayo mpaka? Ama ufisadi nowadays ni uchapakazi?
Afu mambo yakianza kuwaendea kombo, wale wale wanaojiita wanamabadiliko ndo mstari wa mbele kulalamika!!!
Binafsi lowasa haezi kua Rais wa Tanzania, hivi watanzania wanaosema mabadiliko, yataletwa na lowasa ni kwa miujiza gani hata kama nchi ina rasilimali!!! Hivi jumuia ya kimataifa itatuchukuliaje?
Usitegemee any changes from lowasa, kama wananchi hawajitambui, then hata serikali ingegawa pesa even if you're not working, huwezi kupiga hatua, yeah!! Ni kweli ccm imetufikisha hapa 54 years 54 years, but who were among those who made tukafika hapa? Lowasa is the first one no lie, pia hakuna nchi yoyote duniani itaweza kupiga hatua bila ya mchango wa wananchi, je wewe hiyo miaka 54 umeifanyia nini Tanzania? Huku tukiuliza ccm imefanya nini, ili tuende sawa,
Hivyo basi lowasa hawezi kuleta mabadiliko yoyote, kwanza hana good background performance ambayo itambeba, sema wabongo tu ni washabiki!!!!
Wrong choice determine next 5 years.


# bora ushabiki wa Mpira kuliko wa kisiasa!


©University of Las Vegas Nevada!!

"good background performance" ndio nini. Si bora uandike kiswahili tu ueleweke?. Las vegas University? mmmhhh!!!,
 
Rubish... Kwanza wewe ni mbeba mabox ya Tanzania yanakuhusu nini
 
Hivi watanzania aliye waloga yuko hai kweli?
Huyo lowasa mchapa kazi mnasema ni sauti ya mungu, anahistoria gani nzuri katika hayo mnayo mpaka? Ama ufisadi nowadays ni uchapakazi?
Afu mambo yakianza kuwaendea kombo, wale wale wanaojiita wanamabadiliko ndo mstari wa mbele kulalamika!!!
Binafsi lowasa haezi kua Rais wa Tanzania, hivi watanzania wanaosema mabadiliko, yataletwa na lowasa ni kwa miujiza gani hata kama nchi ina rasilimali!!! Hivi jumuia ya kimataifa itatuchukuliaje?
Usitegemee any changes from lowasa, kama wananchi hawajitambui, then hata serikali ingegawa pesa even if you're not working, huwezi kupiga hatua, yeah!! Ni kweli ccm imetufikisha hapa 54 years 54 years, but who were among those who made tukafika hapa? Lowasa is the first one no lie, pia hakuna nchi yoyote duniani itaweza kupiga hatua bila ya mchango wa wananchi, je wewe hiyo miaka 54 umeifanyia nini Tanzania? Huku tukiuliza ccm imefanya nini, ili tuende sawa,
Hivyo basi lowasa hawezi kuleta mabadiliko yoyote, kwanza hana good background performance ambayo itambeba, sema wabongo tu ni washabiki!!!!
Wrong choice determine next 5 years.


# bora ushabiki wa Mpira kuliko wa kisiasa!


©University of Las Vegas Nevada!!


​nonsense'
 
Hivi watanzania aliye waloga yuko hai kweli?
Huyo lowasa mchapa kazi mnasema ni sauti ya mungu, anahistoria gani nzuri katika hayo mnayo mpaka? Ama ufisadi nowadays ni uchapakazi?
Afu mambo yakianza kuwaendea kombo, wale wale wanaojiita wanamabadiliko ndo mstari wa mbele kulalamika!!!
Binafsi lowasa haezi kua Rais wa Tanzania, hivi watanzania wanaosema mabadiliko, yataletwa na lowasa ni kwa miujiza gani hata kama nchi ina rasilimali!!! Hivi jumuia ya kimataifa itatuchukuliaje?
Usitegemee any changes from lowasa, kama wananchi hawajitambui, then hata serikali ingegawa pesa even if you're not working, huwezi kupiga hatua, yeah!! Ni kweli ccm imetufikisha hapa 54 years 54 years, but who were among those who made tukafika hapa? Lowasa is the first one no lie, pia hakuna nchi yoyote duniani itaweza kupiga hatua bila ya mchango wa wananchi, je wewe hiyo miaka 54 umeifanyia nini Tanzania? Huku tukiuliza ccm imefanya nini, ili tuende sawa,
Hivyo basi lowasa hawezi kuleta mabadiliko yoyote, kwanza hana good background performance ambayo itambeba, sema wabongo tu ni washabiki!!!!
Wrong choice determine next 5 years.


# bora ushabiki wa Mpira kuliko wa kisiasa!


©University of Las Vegas Nevada!!
Hata jina la Raisi wako hujui sema LOWASSA THE KING.

swissme
 
"good background performance" ndio nini. Si bora uandike kiswahili tu ueleweke?. Las vegas University? mmmhhh!!!,

Yeah,University of Las Vegas Nevada, hujitambui, lowasa ana performance nzuri gani?

I have no time quibbling with stupid people like you! Get your ass stuck up!!!
I don't know what type of you man, is *** on ur biscuits?
 
Umechelewa kila kitu...kuanzia kujitambua,exposure na mengine yanayofanana na hayo...mwaka huu mabadiliko ni lazima! Toroka kwenye ukoloni wa fikra uje!
 
Hivi watanzania aliye waloga yuko hai kweli?
Huyo lowasa mchapa kazi mnasema ni sauti ya mungu, anahistoria gani nzuri katika hayo mnayo mpaka? Ama ufisadi nowadays ni uchapakazi?
Afu mambo yakianza kuwaendea kombo, wale wale wanaojiita wanamabadiliko ndo mstari wa mbele kulalamika!!!
Binafsi lowasa haezi kua Rais wa Tanzania, hivi watanzania wanaosema mabadiliko, yataletwa na lowasa ni kwa miujiza gani hata kama nchi ina rasilimali!!! Hivi jumuia ya kimataifa itatuchukuliaje?
Usitegemee any changes from lowasa, kama wananchi hawajitambui, then hata serikali ingegawa pesa even if you're not working, huwezi kupiga hatua, yeah!! Ni kweli ccm imetufikisha hapa 54 years 54 years, but who were among those who made tukafika hapa? Lowasa is the first one no lie, pia hakuna nchi yoyote duniani itaweza kupiga hatua bila ya mchango wa wananchi, je wewe hiyo miaka 54 umeifanyia nini Tanzania? Huku tukiuliza ccm imefanya nini, ili tuende sawa,
Hivyo basi lowasa hawezi kuleta mabadiliko yoyote, kwanza hana good background performance ambayo itambeba, sema wabongo tu ni washabiki!!!!
Wrong choice determine next 5 years.


# bora ushabiki wa Mpira kuliko wa kisiasa!


©University of Las Vegas Nevada!!

Mkuu ukisikia bhangi ndiyo hizo unamkuta mtu mzima anakuambia anataka mabdiliko ukimuuliza mabadiliko gani anakuambia CCM itoke madarakani hilo tu basi sasa mtu huyo huyo mfahamishe kwamba hata kufa ni ma
badiliko kukatwa mkono nayo mi mbadiliko kulala saa saba mchana nayo ni mabadiliko sasa Muulizeni edo anawaletea mabdiliko gani ambayo CCM haina hawana jibu basi naona mimi hawajui chochote wangejua siri ya edward na genge lake wangemuogopa kama ukoma hata hivyo watajua sikua anaapishwa Magufuli.
 
Rubish... Kwanza wewe ni mbeba mabox ya Tanzania yanakuhusu nini

Hahahaaaa,, you lazy guys, with poor economies make fat decisions, am not proposing someone, but the one one whom you think, he is not the right token, make right decisions which will determine next 5 years phase!!!! Kubeba mabox or whatever, has nothing to do with you!!!! I better chill out with a zombie diablo Alejandro dė mello Gãndhi, necesito su ropa, sus botas, y su motocicieta, ven conmingo si quieres vivir!!!!

Watch the throne
 
Mkuu ukisikia bhangi ndiyo hizo unamkuta mtu mzima anakuambia anataka mabdiliko ukimuuliza mabadiliko gani anakuambia CCM itoke madarakani hilo tu basi sasa mtu huyo huyo mfahamishe kwamba hata kufa ni ma
badiliko kukatwa mkono nayo mi mbadiliko kulala saa saba mchana nayo ni mabadiliko sasa Muulizeni edo anawaletea mabdiliko gani ambayo CCM haina hawana jibu basi naona mimi hawajui chochote wangejua siri ya edward na genge lake wangemuogopa kama ukoma hata hivyo watajua sikua anaapishwa Magufuli.

Kaka, ni kweli, Tanzania ni nchi yangu, lakini watu kama hawajitambui, tufanye je? Kuna watu wa kushabiiia ila lowasa hafai.
 
Umechelewa kila kitu...kuanzia kujitambua,exposure na mengine yanayofanana na hayo...mwaka huu mabadiliko ni lazima! Toroka kwenye ukoloni wa fikra uje!

Between me & you who is colonized?
You think I eat pieces of shit like you for breakfast?
 
​nonsense'

The post can turn to nonsense if you have crashed it with defensive point, so I wonder how you can go from being a Joe blow!!!!! Man what you have in mind only that? Why don't you sleep cos I know it's night hours down there!!!! Stop tripping man, it's stupid mind which does tripping!!!
 
Mkuu ukisikia bhangi ndiyo hizo unamkuta mtu mzima anakuambia anataka mabdiliko ukimuuliza mabadiliko gani anakuambia CCM itoke madarakani hilo tu basi sasa mtu huyo huyo mfahamishe kwamba hata kufa ni ma
badiliko kukatwa mkono nayo mi mbadiliko kulala saa saba mchana nayo ni mabadiliko sasa Muulizeni edo anawaletea mabdiliko gani ambayo CCM haina hawana jibu basi naona mimi hawajui chochote wangejua siri ya edward na genge lake wangemuogopa kama ukoma hata hivyo watajua sikua anaapishwa Magufuli.

Sometimes natamani kuwa ningekuwa na uwezo niwajaribishie huyo El ili waonje joto ya jiwe angalau
 
Ccm ikisepa ndipo mabadiliko yataonekana, miaka yote ni ahadi zisizo na tija. Tumechoka
 
Ccm ikisepa ndipo mabadiliko yataonekana, miaka yote ni ahadi zisizo na tija. Tumechoka

Umeifanyia nini taifa? Sawa ccm imewafikisha hapo, je wewe Umeifanyia nini Tanzania, Tangu ulivo zaliwa?
Ukipata jibu basi ujue mabadiliko haywezi kuletwa kama huna mchango wowote kwa taifa!!! Kama utashinda bar siku nzima, je mabadiliko yatakujaje? .


Jiulize nimeifanyia nini Tanzania miaka 54, then Uliza ccm imefanya nini hiyo miaka 54. Ili tujue mchawi.
 
Mkuu ukisikia bhangi ndiyo hizo unamkuta mtu mzima anakuambia anataka mabdiliko ukimuuliza mabadiliko gani anakuambia CCM itoke madarakani hilo tu basi sasa mtu huyo huyo mfahamishe kwamba hata kufa ni ma
badiliko kukatwa mkono nayo mi mbadiliko kulala saa saba mchana nayo ni mabadiliko sasa Muulizeni edo anawaletea mabdiliko gani ambayo CCM haina hawana jibu basi naona mimi hawajui chochote wangejua siri ya edward na genge lake wangemuogopa kama ukoma hata hivyo watajua sikua anaapishwa Magufuli.

Ni sahihi lakini wacha watende kama wanavyoamini juu ya hayo xmabadiliko hata kama ya kilaghai.
 
Kwa kula yangu miaka yote nikitumai ccm itabadilika lakini ni zero
 
Ni sahihi lakini wacha watende kama wanavyoamini juu ya hayo xmabadiliko hata kama ya kilaghai.

Yaonekana akili yako si timamu.
How can you say such stupid idea?
How can you have sexual intercourse with a HIV positive person and say I am fulfilling sexual satisfaction?
Just analogy to your thoughts.
 
Back
Top Bottom