Eddo Sambai
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 2,412
- 1,928
May God, naanza kupata woga juu ya Lowassa.
Hv itawezekana watu mara hii wamesahau madhambi ya Lowassa, na wanaendelea kulitajataja jina lake kwa presidency?
Tumekwisha.
Tatizo Lowasa bado anatumia mbinu za mwaka 47, anadhani hiki kizazi cha digital kinadanganyika, kwa vijijini mbinu hizi sawa na siyo mjini. Hiyo Harambee itakayofanya vijana wetu wavunjike miguu kwa kuendesha bodaboda ilaaniwe. Angefanya harambee ya kujenga kiwanda ili wapate ajira
This is among World wander.
Haiwezi kuingia akilini kwa mtu mwenye akili timamu kulitaja jina la EL tena kwa kumpa Future title of to be our president. Labda kama unatumia ile bidhaa inayozalishwa pale Lumumba.
Tatizo Lowasa bado anatumia mbinu za mwaka 47, anadhani hiki kizazi cha digital kinadanganyika, kwa vijijini mbinu hizi sawa na siyo mjini. Hiyo Harambee itakayofanya vijana wetu wavunjike miguu kwa kuendesha bodaboda ilaaniwe. Angefanya harambee ya kujenga kiwanda ili wapate ajira
TZ needs lowasa like christians need Jesus
Mkuu wala usiwe na hofu na huyo mgonjwa. Jeuri yake iko ndani ya ccm tu, akija kwa Watanzania wenye akili zao tunajua kuwa huyu jamaa ni kinyesi tu na hata umfunge na gift paper ya aina gani harufu itatoka tu.
Yani EL nje ya ccm ni kama kelele za mbu nje ya net haiwezi kuambukiza malaria.
hivi ka makonda katumiwa na sitta, wewe---------- na nan?wadau!!
Ni waz sasa lowassa hakamitki,katika kile kinachoonekana kwamba mh lowassa ni moto wa kuotea mbali,juma pili hii atafnya harambee ya aina yake ili kuwawezesha waendesha boda kila mmoja kumiliki boda boda,ni jana tu mahasimu wa lowassa wamekuwa wakimshambulia,ila lowassa ameamuwa kupiga kimya anafnya kwa vitendo,
Makonda juzi alitumika na membe na sitta kuja kumshambulia mh lowassa,lakin kutokana na busara za lowassa hakutaka kujibizna naye kwasabu cyo saiz yake.namshauri makonda amesha washa moto kwasabu hao wenyew walio mtuma wanaujuwa moto wa lowassa na ndio mana wao wamemuweka front makonda wasikilizie kinacho endelea,
Lowassa mwaka huu atawaonyesha subir moto zaid unakuja
This is a contemptuous, profane utterance; total blasphemy!
Ndio nini hiyo mkuu?Kwahiyo amejificha mpaka M4C-OPD ikamilike ndo haanze kugawa hizo pesa haram?
May God, naanza kupata woga juu ya Lowassa.
Hv itawezekana watu mara hii wamesahau madhambi ya Lowassa, na wanaendelea kulitajataja jina lake kwa presidency?
Tumekwisha.
Acha kushirikisha imani za watu na mahaba yako
Mbona amesema yeye hatagombea, kwa sababu afya yake si nzuri.
Hata usiogope kaka, hizo harambee zake ndo zinammaliza. Mwanza, alitudanga kuwa anatuchangia mtaji sisi 'wamachinga', zikakusanywa takribani mil 20, halaf akamkabidhi rafiki yake, tajiri wa mafuta eti atutunzie. Mpaka leo, hakuna hata machinga mmoja aliyekwisha pata ile pesa. Unafikiri akirudi Mwanza atakuwa na chake tena?May God, naanza kupata woga juu ya Lowassa.
Hv itawezekana watu mara hii wamesahau madhambi ya Lowassa, na wanaendelea kulitajataja jina lake kwa presidency?
Tumekwisha.