LOWASA KUITOSA UKAWA:
Mgombea wa umoja wa ukawa mhe Lowasa anatarajiwa kuutosa mazima umoja huo na chama alichojiunga cha chadema baada ya uchaguzi,zipo kila dalili za kiongozi kufanya hivyo maana kupata ushindi kwake itakuwa ni ndoto,kiongozi huyo hata kuwa na nguvu tena ya kuimarisha umoja huo au chama na taarifa zinasema kuwa jamaa atajiingiza katika masuala ya uchungaji