Lowassa kustaafu siasa

Status
Not open for further replies.

Anaitosa na kubaki madeni makubwa

naendelea kusisitiza kwamba
ambao hawajawahi kula hela ya lowasa wamuombe saiv maana baada ya mwez huu ataanza kuwaomba yy hela ya voucher
 
Mama yako kastaafu ndoa na kurejea kwa wazazi wake.hebu fuatilia maana wadogo zako wanapata taabu sana.
 
mahakama ya mafisadi inakuja jipangeni na huyo fisadi wenu.

Fisadi MAKOMEO anazuga tu aianzishe tu tumhoji ya Mv Bagamoyo, Samaki za watu alizokurupuka kuzigawa na Tz tunadaiwa mpaka sasa, zile nyumba za serikali walizokuwa wanagawa na dada Kabula huku watumishi wa serikali wakiishi mahotelini kutokana na uhaba wa nyumba, zile DISPOSABLE ROADS alizozisimamia zikiwa chini ya kiwango atatujibu WATZ au arudishe chenji kama walivyo fanya mafisadi wenzake kwenye deal ya RADAR.
 

mimi hapa,wala sio wanasiasa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…