samora10
JF-Expert Member
- Jul 21, 2010
- 7,594
- 4,798
Kumbe mwenzetu unapitwa ina maana hujui kuwa huyu jamma kashika nchi kimtindo na fedha alizo nazo kupitia zain na kwingineko na hata wana mtandao aliyewaweka yeye 2005 kama vile anavyotaka kuanzia wakuu wa mikoa wakuu wa wilaya wakurugenzi wa halmashauri na idara mbalimbali za serikali. Na kwa taarifa yako ni hivi hata JK ndicho hasa anachomwogopea na hawezi kumtupa angeweza hata kukosa uraisi wa mwaka huu kama unabisha angalia walivoishika cc yao na kumwaga sitta ndipo utaelewa naongea kitu gani kaka ila hasira zako zinaunganishwa na mamiliaoni ya watanzania subiri Dk. Atoe tamko utajua tuko wangapi tulioibiwa na tunataka chetu kwa gharama yoyote ile
natamani kumiliki AK 47!