Lowassa kupigwa chini tena

Reuters

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2015
Posts
375
Reaction score
160
UKAWA wanafukuza upepo na kujitoa ufahamu

Nakumbuka zilipokua zinakaribia siku za uchaguzi ndani ya CCM wapo waliojipiza kama nyie wa leo juu ya Lowassa kwamba hakatwi mtu na alipokatwa walibaki vinywa wazi na vilio tele kwa sababu mirija ya ulaji ilikua imekatwa.

Na sasa mnajiapiza tena kwa kujitoa ufahamu kwenu eti hata iweje mtampa kura Lowassa hata awe mgonjwa vipi ahahahaa mpeni ila mjue atapigwa Chini tena kwa kura za wananchi safari hii baada ya 25 25th October. Mtulie kama mnanyolewa vile maana najua hamchelewi kutuletea fujo maana kwa maandamano tu hamjambo. ..

HAPA KAZI TU. .M4C. .MAGUFULI FOR CHANGE
 
Lowasa Lowasa..kila MTU anaandika Lowasa matokeo yake anazidi kupata umaarufu
 
Reuters

hawa wakiwa wakiwa siju mikia vile....wakileta vurugu maji ya washa washa yapo!! Vikosi vya ulinzi na usalama vya tanzania vipo vizuri na makini....wako peace sana ila usivichokonoe!!! Fujo hakuna...ukiwa sasa hivi wameshakata tamaa!!!
 
Last edited by a moderator:

Umekosa cha kufanya, kahudhurie mkutano wa Makufuli!!!
 
M4C ni Magaufuli 4 Change duh hii kuiga kila kitu ipo siku mgombea wenu mtamuita John P Lowassa maana hakuna namna uwezo wa kufikiri umefika mwisho.
 

Magufuri for change
 
Lowassa ni Rais tayari... labda uwe kichaa tu kutokuona hilo..!!
 
M4C Movement for change (leo mnasema ni ya magufuli) kweli ukiona umekabwa kila kona inabidi uanze kuiga kile ambacho wahasimu wako wanasema.

Kamilisheni na hii MABADILIKOoooooooo LOWASAAAA!!! LOWASAAAAA MABADILIKOoooooooo !!!!!!!!!!!! Na hii pia ni yenu ccm chukueni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…