MyTanzania
Senior Member
- Sep 9, 2008
- 106
- 8
Yumo kwenye kundi kuuubwa la Mawaziri Wakuu wastaafu. Hakufukuzwa kazi!
Yumo kwenye kundi kuuubwa la Mawaziri Wakuu wastaafu. Hakufukuzwa kazi!
sifahamu full mafao ya waziri mkuu lakini si vibaya tukayajua kupanua tu wigo wa ufahamu na pengine si vibaya tukafahamu huyu EL kwanini anapata mafao kidogo kuliko mawaziri wastaafu naamini na waliojiuzulu wako kwenye kundi moja humo humo.
Field Marshal,nadhani askari wanapiga saluti bungeni kwa maana ya kumpigia spika kama kiongozi wa muhimili mmojawapo wa dola,kama ilivyo kwa jaji mkuu na rais,lakini si kwa maana ya mbunge mmoja mmoja.
Na mimi nilibahatisha kuona hiyo habari, lakini lililonishangaza ni kuwa wakati habari ilimhusu Rais kutoa kamisheni kwa wahitimu wanajeshi, hakuonekana Rais akipigiwa saluti wala kukagua gwaride, mara picha inaonyeswa Lowasa akisalimiana na makamanda na kupigiwa saluti. Sasa nilitegemea coverage imhusu Rais lakinihaikuwa hivyo. Hata kama wabunge nao wana haki ya kupigiwa saluti lakini nafikiri kulikuwa na shida katika hiyo habari. Unajua mtangazaji naye alicheka mara baada ya hiyo habari.
Nafikiri Rais angeonyeshwa akikagua gwaride na akipigiwa saluti.
Kwenye hili kundi la wastaafu hayumo kimafao, maana ni yeye peke yake tu ambaye hapewi full mafao, kupigiwa saluti ninaamini imetokana na ubunge wake period!
Bwana Mavanza kamwe usifikiri hiyo coverage ya EL ilikuwa bahati mbaya, bali ilipamgwa iwe hivyo kuendelea kumsafisha na wahusika wamechukua chao kwa kazi nzuri waliyomfanyia, kumbuka kuwa EL huwa hakati tamaa kama fisi
1. Suala la mafao yao tumeliongelea sana hapa, kwa kifupi tu ni kwamba hutunzwa na taifa mpaka watakapoitwa na Mungu, ikiwa ni pamoja na ulinzi, ni only the last two eeks ndio nimegundua kua Lowassa, anapewa ulinzi tu tena ambao ni very conditioned, hii ilikuwa ni badaa ya kuondoka kwake kwenye power, alipofika Airport ya Dar wananchi walianza kumzomea na kumtishia tisshia wakimuita fisadi,
- Kwa vile ilikua arudi kwenye kikao cha bunge, alimpigia simu Spika akidai kua hawezi kurudi bungeni bila kua na ulinzi, ndipo alipopewa walinzi.
2. According to wanaohusika ambao nimewahi kuwauliza sana kuhusu hili suala, ni kwamba kitabu cha serikali cha mafao ya mawaziri wakuu hakina category ya waziri mkuu aliyelazimishwa kujiuzulu na bunge kwa kashfa za rushwa, ndio maana hata hilo la walinzi liliamuliwa kwa dharura kutokana na hivyo vurugu ya airport ama sivyo niliambiwa asingepewa kabisa.