ni vizuri kwa mtu kama lowassa mwenye wafuasi wengi namna hii akaweka msimamo wake hadharani sas maana neno lisemwalo wakati ufaao ni la maana zaidi kuliko hekima ya kukaa kimnya ambayo actually ni hekima ya mjinga/mpumbavu maana yeye akiongea ataaribu, lakini yeye kama kiongozi sio busara kuakaa kimnya baada ya huu mvurugano wote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.