Tetesi kutoka chanzo kimoja kilichopo Dodoma katika kikao cha CCM ni kuwa Waziri mkuu huyo wa zamani atafutiwa uanachama na hivyo hatagombea Urais hapo 2015.
Inasemekana awali wajumbe waliomhoji walipendekeza apewe adhabu ya kutokugombea kwa muda wa miezi 18, jambo ambalo lingemfanya kushindwa kugombea katika uchaguzi ujao.
Naendelea kufuatilia details nitazileta mapema nikithibitisha maana kikao kilikiwa bado kinaendelea.
Atakuwa ameingia hasara kubwa sana. Bora wafumbe macho tu wamfukuze maana hasafishiki. Ila kama atang'ang'ania na hatimae akpitishwa na maccm wenzake kampeni zetu mwakani zitakuwa rahisi sana kama itakavyokuwa huko Kalenga.
Hakuna wa kumfukuza EL, CCM wanajuana sana ndo maana unaona wanaitwa hafu hakuna maamuzi yyoyte ya maana utakayoyasikia. Ndo maana walisema "Yalikuwa mazungumzo ya chai"
Mbona Lowasa alisha sema kuwa hataondoka peke yake wakitaka kumuondoa ni lazima na mwenyekiti aondoke.Lakini hata hivyo ni mwelekeo mzuri kwa CCM kwani somo la CHADEMA litakuwa limeanza kuwaingia.
Teh teh he,Ccm bhana!eti maamuzi magumu,myatoe wapi?mnajipenda kweli au mnajitekenya tu.Au mna Ccm nyingine sio hii ya akina Kingunge mwakilishi wawachawi?
Nasikia Lowassa aliwahi kusema kuwa yeye atakuwa rais wa Tanzania 2015 hata kwa chama "jiwe", si lazima CCM.
Though sidhani kama ccm wana uwezo wa kumtimua lowassa.
Anywayz, niwaache wafu wawazike wafu wao....