Lowassa kioo tuelekeacho

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2008
Posts
10,942
Reaction score
437
Ukiangalia nchi yetu jinsi ilivyo na changamoto tulizonazo kuhisiana na ustawi na wa Taifa letu vi vema tukawa na kiongozi mwenye hulka ya maamuzi magumu sana zaidi awe mchapakazi hodari wa kupigiwa mfano hata record yako iwe inamshuhudia hivyo,Kati ya wote waliotangaza nia mtu ambaye watanzania wameonyesha kuwa anaweza kubeba jukumu hilo si mwingine bali Edward Lowassa,Huyu ni mchapakazi anayejipambanua kwa namna yake na kizuri ni ambaye anaamini sana kile ambacho anakisimamia pasi na mashaka yoyote ile.CCM inatakiwa iwatendee watanzania haki yao ya msingi kwa yule ambaye tumeona anaweza kutuvusha ng'ambo ya maendeleo na zaidi wazingatie ushauri wa mwenyekiti wao JK kuwa wasifikiri kwamba eti mgombea akichaguliwa na CCM basi amepita zama hizo zimeshapita kitambo sana na wananchi sasa wanaelewa vilivyo kwani wanaopiga kura wanafika zaidi ya watu million 19 au 20 kama wote wakijiandikisha na kupiga kura.Tafakari
 
Lowasa ni kiongozi wa kuigwa ndani na nje ya chama kwani pengo lake limeonekana tangu alipoachia madaraka mambo yamekuwa yakienda ndivyo sivyo na hakuna kiongozi wa kukemea mambo na kuyatafutia ufumbuzi,,,, zimebaki ahadi za kisiasa zisizo tekelezeka,,,,
 
Lowassa siyo kioo bali ni giza totolo. ukitaka kujua Lowassa ni nani angalia walioko nyuma yake. Lowassa akiwa ikulu ni sawa kama umeweka fisi, sasa ukifuga fisi fisi huyo atatembelewa na nani kama siyo mafisi menzake, Lowassa hana maamuzi magumu bali ana maamuzi ya kukurupuka.
 

Kweli how can we forget so easly. Hebu angalia huyu mtu kwenye mambo muhimu yaliyopita bungeni alikuwa bubu hata kwenye BMK alikuwa hasemi kitu, marafiki zake wote wapiga dili acheni ujinga bana..
 
Ulienda shule kusomea UJINGA WEWE, by FFoxy.
 
Lowassa ni fisadi asiyestahili kuliongoza Taifa letu, huyu mtu anayetaka kuhonga mabilioni ya pesa za kifisadi ili aingie Ikulu ni wa kuogopa kama ukoma.
 
Hivi wewe una akili kweli?
naongelea ile akili ya kuzaliwa tuu, achana na ya shule au inayotokana na mazingira!!
Haiwezekani ukawa nunda kiasi hiki. Unawaangusha sana wanaokutegemea.
Nakuomba ndugu yangu ujitathmini.
 

unapewa hela kuleta uzi kumtaja mwizi mkubwa huyo, shame on you!
 
Kuhusu ufisadi mimi siutambui coz fisadi ni lazima ashitakiwe so unapomuita mtu fisadi na hakuna kesi yeyote anayoshitakiwa unamaanisha nini? Usiongee kwa ushaabiki lete vielelezo
 
Lowassa ni fisadi asiyestahili kuliongoza Taifa letu, huyu mtu anayetaka kuhonga mabilioni ya pesa za kifisadi ili aingie Ikulu ni wa kuogopa kama ukoma.

Tuondolee umasaburi wako hapa, umelishwa hela za Ghadafi unmekuwa tahira, nenda chalinze kalambe masaburi ya Prince
 

Ikifika mahali unamfannaisha binadamu mwenzako na fisi tujue ufahamu na nafsi yako tayari huna mamlaka navyo

Wewe unaeona LOWASSA sio kioo Bali ni Giza ujue kwamba wewe ndio Giza hujioni katika hicho kioo

Tafakari chukua hatua

LOWASSA THE COMING PRESIDENT OF TANZANIA
 

Hana lolote zaidi ya maamuzi magumu ya kumtusi Mwl JK Nyerere.
 

Wewe Mzaramo eh?utakoma,hakuma kucheza ngoma.
 
Lowassa ni fisadi asiyestahili kuliongoza Taifa letu, huyu mtu anayetaka kuhonga mabilioni ya pesa za kifisadi ili aingie Ikulu ni wa kuogopa kama ukoma.
Tunaomba evidence ndugu, pia huyo msafi unaemtaka wewe ili aingie Ikulu ni yupi?
 

coming president of your mother
 
Hivi lowasa alikuwaga waziri wa maji na akapeleka maji vijiji vyote hapa nchini mpaka leo hatuna shida ya maji dah kweli jamaa mchapa kazi.alafu kule monduli ni kama wale masai wanatumia maji ya kwenye marambo ktk kupikia ,kunywa na kunywesha maji.pia hivi alifanya maamuzi gani magumu naomba mnikumbushe maana nimesahau kama jamaa alishawahi kufanyaa maamuzi magumu.
 
Lowassa ni fisadi asiyestahili kuliongoza Taifa letu, huyu mtu anayetaka kuhonga mabilioni ya pesa za kifisadi ili aingie Ikulu ni wa kuogopa kama ukoma.

Dua La kuku halimpati mwewe na tuhuma za kipuuzi zisitunyime kiongozi bora 2015

Tafakari chukua hatua

LOWASSA THE COMING PRESIDENT OF TANZANIA
 
Tuondolee umasaburi wako hapa, umelishwa hela za Ghadafi unmekuwa tahira, nenda chalinze kalambe masaburi ya Prince

Lowassa jizi kubwa. Mteteeni weeeeee lakini asubuhi na mapemaaaaa anatupiliwa mbali na Rais ajaye anampeleka kwenye hoteli ya nyota tano Segerea au keko. Mwizi mkubwa huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…