Area 56
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,546
- 4,040
Aliyekuwa Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chadema kwenye Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015, Ndugu Edward Ngoyai Lowassa anatarajiwa kufanyiwa mahojiano na Tido Mhando katika kipindi cha Funguka kinachorushwa na Azam Two.
Lowassa anatarajiwa kutoa ya moyoni kuhusu Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana, pamoja na mtazamo wake kuhusu hali ya kisiasa na uchumi inayoendelea kwa sasa hapa nchini.
Usikose kumsikiliza na kumuangalia live nguli huyu wa siasa kuanzia saa 3:00 asubuhi ya kesho Jumapili naamini ana mengi kwa sisi Watanzania.
Lowassa anatarajiwa kutoa ya moyoni kuhusu Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana, pamoja na mtazamo wake kuhusu hali ya kisiasa na uchumi inayoendelea kwa sasa hapa nchini.
Usikose kumsikiliza na kumuangalia live nguli huyu wa siasa kuanzia saa 3:00 asubuhi ya kesho Jumapili naamini ana mengi kwa sisi Watanzania.