Lowassa kaweka nchi rehani

TataMadiba

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2014
Posts
9,868
Reaction score
5,753
Tunaona kama vibonzo, lakini vibonzo hivihivi tutakuja kuvikumbuka.
 

Attachments

  • FB_IMG_1439608086120.jpg
    22.2 KB · Views: 1,052
Kwikwikwikwikwiiiiii. Labda mataahira na misukule ndio watakaompa kura Lowasa
 
Tata madiba una hatare ya kupata ugonjwa wa kichaa kwa sababu kila siku unafikiria njia gani ya kumchafua EL itakuathiri kisaikolojia hata magonjwa ya pressure,sukari yanaweza kukunyemelea..cha msingi focus na magufuri tu ....
 
Kazi bado sidhan kama ana ubavu wa kuchukua nchi,maana kelele za chura hazimnyimi mwenye kisima kuteka maji
 
Badala ya kumnadi MAGUFULI wenu mnabakia kumpigia "Promo" LOWASSA, ambaye tayari hana haja ya Kampeni, anasubiri mafuriko ya kura na kuapishwa! Sijui ni nani aliyewaloga!
 
Badala ya kumnadi MAGUFULI wenu mnabakia kumpigia "Promo" LOWASSA, ambaye tayari hana haja ya Kampeni, anasubiri mafuriko ya kura na kuapishwa! Sijui ni nani aliyewaloga!
Mwnzoni tulikuwa wote huku CCM, leo umemfuata MALKIA WA MCHWA huko uchaggani, Oktoba unazikwa naye rasmi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…