Lowassa katika ubora wake leo asubuhi

Lowassa katika ubora wake leo asubuhi

Wakuu,
Kuna hii video ya waziri mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya ricmond ikisambaa kwenye WhatsApp,akifanya zoezi kudhihirisha yupo fiti.


Pamoja na kwamba nia ya video ilikuwa kujibu mashambulizi video inaonyesha huyu mheshimiwa ni mgonjwa kweli.

Sikujua kumbe hata kutembea haraka hawezi,kuchezesha mikono kwa haraka hawezi.

Ni vizuri huyu mheshimiwa apumzike ahudhurie matibabu kuliko kijiongezea stress na kufukuzana na vijana Kama kina nape,hivi akipitishwa atazungukaje nchi nzima na kuongea yenyewe shida?

Kama anajali maslahi yake ni heri atafute mtu kutoka kwenye kambi yake atagaze nia ili kulindiwa maslahi yake.
 
Siyo ya kweli ni ujinga mtupu wameifanyia graphics iangalie vizuri siyo Lowasa.
 
Siyo ya kweli ni ujinga mtupu wameifanyia graphics iangalie vizuri siyo Lowasa.

Ile video hamna editing,mzee kutembea hatua mbili anahema,hata kutembea haraka hawezi
 
...
attachment.php

Mkuu tunaweza kupata Clip(Video) inayomuoonyesha akikimbia ....!?
 
Kwani wenye afya wanafanya nini, sisi tunataka ni akili na wala sio afya, kama unataka mwanariadha mtafute bayi.
 
Hivi why lowasssa and not other people, ugonjwa, ufit, na wengine yatajulikana , mnateseka kweli.
 
Hivi why lowasssa and not other people, ugonjwa, ufit, na wengine yatajulikana , mnateseka kweli.

Huyu mamvi ni mgonjwa sema tamaa tu na uchu wa madaraka vimemtawala kupitiliza. Anatambua afya yake dhohofu hali. Anataka aingie ikulu ili atibiwe kwa pesa za watanzania wakati zake anahonga mahayawani wake.
 
Back
Top Bottom