Alaaniwe mtu yeyote anayemfananisha Mwana wa Mungu na mijiana siasa mijinga ya bongo
Ulaaniwe na wewe unayesema kuwa Mungu ana Mtoto/mwana.
Alaaniwe mtu yeyote anayemfananisha Mwana wa Mungu na mijiana siasa mijinga ya bongo
Acheni kufuru kabisa hakuna wa kufanana na Yesu Duniani
Daaah!!!hahahaha, mbona wapo watu wengi tu wanaitwa Yesu. Ndiyo maana kwenye biblia anaitwa "Yesu wa Nazareti".
![]()
Huyo mchezaji anaitwa Jesus Navas
Lazima nishtuke kusikia Lowassa kama Yesu na Chadema kama Kanisa.mbona unashtuka mkuu? ndiyo hivyo
Lowassaaaaaa, kila la kheriiii babaaa
✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌
Kwa hiyo amerudi kwa umbo la kimasai.Alaaniwe anayekataa Lowassa hayuko kama Yesu... sbb Mungu kamuumba mwanadamu kwa sura na mfano wake...
Lowassa kama Yesu, kwa mateso aliyopitia, na bado anatupenda, na atakuja kutuokoa muda si mrefu...Amen
Alaaniwe anayekataa Lowassa hayuko kama Yesu... sbb Mungu kamuumba mwanadamu kwa sura na mfano wake...
Lowassa kama Yesu, kwa mateso aliyopitia, na bado anatupenda, na atakuja kutuokoa muda si mrefu...Amen
Madabida alishasema Lowassa ni sawa na Mtume Muhammed S.A.W, na wewe unasema Lowassa ni sawa na Yesu basi Lowasa ni balaa. Kama ananfananishwa na hayo majina makubwa kuwahi kutokea duniani, anatisha.
Yaaani huko Arachuga, Mwanza, Shinyanga, Mbeya, Songea, Loliondo, Tanga, Moro, Kigoma, Moshi, Mtwara, Iringa, Dodoma, Singida...Tabora...Dar...Katavi..Zanzibar.
..ni shangwe tupuuuu, kimenukaaaa, ni furahaaa tu leo..hakuna kulalaaaa..yaani jamani Lowassa anapendwa hadi na UVCCM....maana naona UVCCM kibaoooo wameungana na BAVICHA kucheza pamoja...yaani ni cherekoo, vifijooo....
Naambiwa kila mtaa wana ruka ruka...aiseee hadi boda bodaaa..kila kona...jamaniiiii....uuuwiiiiii....
Lowassa kama Yesu...duuuhh
Lowassaaaaaa, kila la kheriiii babaaa
✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌