Lowassa its time to fight...!

Here you go again, great thinkers discussing people!! thats too low, to say the least.
 
Lowasa Lowasa, mwachekini jamani, hizo nguvu mnazozisema kazipata wapi? Kwangu mimi Lowasa si kitu si chotete. Alafu Chadema wanamuandama sana kwasababu ni muislamu eeeh.....achani izo bana.
 
Wakuu inaelekea mimi nina allergy na EL, akiongelewa tu napata kichefuchefu kikifuatia kutapika, kutoa ushuzi na kuharisha.

tafadhali kapime mkojo utakua na mimba changa au kitu kinachofanana na hiyo.
 


In politics you must always keep running with the pack. The moment that you falter and they sense that you are injured, the rest will turn on you like wolves. --- R. A. Butler


.
 
IQ ya EL ni ndogo sana pesa za wizi ndo nguvu yake amekataliwa kwao na mkwewe atakenda wapi ila kwa kuwa hana akili ataendelea kugwa mihela tu...............acheni watu wale mpunga, wajinga ndio waliwao!
 
"JOKA LA MDIMU" Lema kasema "wao wana pesa,sisi tuna Mungu" endeleeni kujipendekeza na kumpumbaza 2015 kama Arumeru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…